Vetting system ya viongozi ilishindwaje kumchuja Ole Sabaya?

Vetting system ya viongozi ilishindwaje kumchuja Ole Sabaya?

Nimekuelewa fika mkuu, lakini huna hoja.
Ati kwa sababu mtu wa awamu ya kwanza alitenda maovu basi iwe ruksa kutenda maovu sasa.
Tunafahamu baba yake Lengai Ole Sabaya ni mmoja wa waliotenda mabaya miaka hiyo, and he got away with it.
Nasisitiza, hujanielewa. Ila wewe ng'ang'ania tu kuwa umenielewa.
 
Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.

Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.

Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.


Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.

Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?

Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!

Kuna kitu ni seriously wrong.
Mkuu umesahau ,mwendazake alikua ashauriki mkuu ,alisema ukimshauri ndo waalibu kila kitu
 
Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.

Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.

Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.


Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.

Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?

Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!

Kuna kitu ni seriously wrong.
Kujuana, kuwekana... kazi maalum!!!
 
Hizo sababu za kukata jina la Sabaya ndiyo sababu zilizofanya Marehemu Pombe akampenda na kumteusa ili amtumie kwenye mission zake chafu.
 
Jamaa alikuwa na tatizo, litajulikana tu, muda ukifika.
We acha tu mkuu, hata wasaidizi wake ni vile wapo Kimia ila wenda wameyapitia mengi , unaamuka hasubui ujui mwenda zake ana nini kichwani mwake juu yako, Maisha ya digdig ,kabla ya kufanya Jambo unajiuliza ivi sijui bwana yule litampendeza hata Kama lipo kisheria, lo MWENDAZAKE bwana
 
Hapi mpaka alikuwa anamtisha JK eti atamshughulikia, pumbafu kabisa
Hatari sana mtoto huyu alijisahau....akaanza kutukana mamba mto hajavuka eti atamtwanga JK daaaa dharau kubwa sana....
 
Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.

Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.

Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.


Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.

Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?

Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!

Kuna kitu ni seriously wrong.
Mkuu Jidu, wakati mwingine inakuwa rahisi tu kukujibu hapa bila ya kujisumbua na yaliyo ndani ya mada yenyewe, pamoja na kwamba mada itakuwa na maelezo mhimu zaidi, kufuatia kichwa kinachoyabeba.

Hivi kweli mkuu bado unaamini kwamba kuna hiyo "vetting" unayoisemea hapa?

Sasa hivi, wengi wetu tumekwishatambua ni kiasi gani nchi yetu ilivyo wazi (vulnerable). Tunaweza kuongozwa na mtu yeyote toka chini hadi juu kabisa ya uongozi wa nchi kwa viongozi mapandikizi tu!

Nchi yetu hii haina uwezo tena wa mchujo wenye vigezo makini.

Watu wanaingia tu madarakani, hata misimamo yao haijulikani, kwa sababu hawajawahi kutoa msimamo popote pale katika uongozi wao. Watu hawa wanachoweza vizuri sana ni kujificha nyuma ya watangulizi wao, bila ya kuonyesha dalili zozote za kuwa na mawazo tofauti wanayoyaamini wao.
Kazi yao kubwa ni maslahi yanayotokana na nafasi zao.

Inapotokea sasa pakawa wazi..., hapo ndio sasa hujionyesha wanakosimamia. Wananchi hawana nafasi ya kuhoji, kwa sababu utaratibu huo haupo.

Kama hatujapata pandikizi hadi wakati huu, basi kuna hatuko mbali.

Nchi yetu imevurugika sana. Mifumo iliyosifika kwamba tunayo, haijulikani imepotelea wapi!

Tatizo tulilonalo, hata tukipata viongozi mapandikizi Tanzania, hawakosi manazi wa kuwapigia zumari.
 
Back
Top Bottom