Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hawana ubavu huoVery soon utasikia yupo upanga anahojiwa na pccb
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana ubavu huoVery soon utasikia yupo upanga anahojiwa na pccb
Sasa hivi anapambana kuhamasisha Wakulima wa Tumbaku huko [emoji23][emoji23] Hakuna kiki kule Toronto
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Ulijjwaaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasisitiza, hujanielewa. Ila wewe ng'ang'ania tu kuwa umenielewa.Nimekuelewa fika mkuu, lakini huna hoja.
Ati kwa sababu mtu wa awamu ya kwanza alitenda maovu basi iwe ruksa kutenda maovu sasa.
Tunafahamu baba yake Lengai Ole Sabaya ni mmoja wa waliotenda mabaya miaka hiyo, and he got away with it.
Kama unaongea kikwenu na hueleweki tatizo la nani?Nasisitiza, hujanielewa. Ila wewe ng'ang'ania tu kuwa umenielewa.
Unapenda kuliwa na kondomu au peku?Naona kuna Watu enzi za Utawala uliopita mlikuwa mnanunuliwa mpaka chupi.
sorry sijamtaja mtu wala teuzi zake. usihamishe lengo la point yangu.Kama teuzi za Samia Hassan ndio za ajabu ajabu hadi basi
Mkuu umesahau ,mwendazake alikua ashauriki mkuu ,alisema ukimshauri ndo waalibu kila kituTulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.
Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.
Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.
Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.
Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!
Kuna kitu ni seriously wrong.
Jamaa alikuwa na tatizo, litajulikana tu, muda ukifika.Mkuu umesahau ,mwendazake alikua ashauriki mkuu ,alisema ukimshauri ndo waalibu kila kitu
Kujuana, kuwekana... kazi maalum!!!Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.
Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.
Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.
Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.
Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!
Kuna kitu ni seriously wrong.
We acha tu mkuu, hata wasaidizi wake ni vile wapo Kimia ila wenda wameyapitia mengi , unaamuka hasubui ujui mwenda zake ana nini kichwani mwake juu yako, Maisha ya digdig ,kabla ya kufanya Jambo unajiuliza ivi sijui bwana yule litampendeza hata Kama lipo kisheria, lo MWENDAZAKE bwanaJamaa alikuwa na tatizo, litajulikana tu, muda ukifika.
Hatari sana mtoto huyu alijisahau....akaanza kutukana mamba mto hajavuka eti atamtwanga JK daaaa dharau kubwa sana....Hapi mpaka alikuwa anamtisha JK eti atamshughulikia, pumbafu kabisa
Mkuu Jidu, wakati mwingine inakuwa rahisi tu kukujibu hapa bila ya kujisumbua na yaliyo ndani ya mada yenyewe, pamoja na kwamba mada itakuwa na maelezo mhimu zaidi, kufuatia kichwa kinachoyabeba.Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.
Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.
Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.
Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.
Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!
Kuna kitu ni seriously wrong.