Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
ThubuuuutuuuuuuuMakonda kama ni mwanamume kweli aende Klauzi[emoji849][emoji849]
Kasha ufyaaaaaaataaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ThubuuuutuuuuuuuMakonda kama ni mwanamume kweli aende Klauzi[emoji849][emoji849]
Hahaaa!!hapa hakuna vetting , mtu mwenye elimu ya kidato cha nne, anapendekezwa kuwa RAS!!??Vetting system? Tanzania?
Ambapo Rais anachomekewa jina la Mwana Uvaccm awe CEO wa TPDC??
There is a serious problem!Hahaaa!!hapa hakuna vetting , mtu mwenye elimu ya kidato cha nne, anapendekezwa kuwa RAS!!??
Bongo Connection ina nguvu kuliko vetting na ndio maana wenye Gpa za 4 wengi wako mtaani ila wenye 2.9 wanapeta maofisini na mishahara mizitoHayo mambo ya vetting labda nchi za wenzetu lakini sio Bongo hii siamini kabisa kama yapo maana kama yangekuwepo sidhani hata yule aliyemteua yeye ingewezekana kukabidhiwa madaraka.
Hata Magufuli kwa ukweli kabisa, kufika alipofika ni maajabu.TISs walikuwa wamelala na wako mfukoni mwa Jiwe
Hata enzi za Mwalimu sio kwamba viongozi wote walikuwa wenye maadili. Wapo waliongia hadi watu wakawashangaa kama wewe unavyomshangaa Ole Sabaya. Ushahidi tunao na ukiutaka tutakuwekea.Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.
Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika.
Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.
Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT,Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.
amoja na kuwapika , viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha.
System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.
Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini.?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!
Kuna kitu ni seriously wrong.
Kiongozi kitenda maovu siyo sifa, hata uwe anatumika awamu gani.Hata enzi za Mwalimu sio kwamba viongozi wote walikuwa wenye maadili. Wapo waliongia hadi watu wakawashangaa kama wewe unavyomshangaa Ole Sabaya. Ushahidi tunao na ukiutaka tutakuwekea.
Huyu alipendekezwa na Mnyeti, Mnyeti na Magufuli ilikuwa ni pete na kidole hapakuwa na namna mkuuTulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.
Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika.
Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.
Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT,Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.
amoja na kuwapika , viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha.
System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.
Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini.?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!
Kuna kitu ni seriously wrong.
Wote akina Gambo, Mnyeti wanatakiwa kuwa magerezaSabaya,Bashite lazima watumikie jela
Magufuli aliunda genge la viongozi wahalifu.Wote akina Gambo, Mnyeti wanatakiwa kuwa magereza
Ndiyo ukweli huoMagufuli aliunda genge la viongozi wahalifu.
Hapi mpaka alikuwa anamtisha JK eti atamshughulikia, pumbafu kabisaIla Magufuli Bora alipumzika mapema, alipokuwa anatupeleka anajua yeye mwenyewe. Kina Sabaya, Makonda, walikaribia kuwaharibu Ali Hapi na Chalamila. Leo ukienda kwa RC Tabora huwezi kuamini ni yule aliyekuwa Iringa
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Sasa hivi anapambana kuhamasisha Wakulima wa Tumbaku huko [emoji23][emoji23] Hakuna kiki kule TorontoHapi mpaka alikuwa anamtisha JK eti atamshughulikia, pumbafu kabisa
Chujio ilitakiwa lianzie kwa jiwe mwenyeweTulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.
Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika.
Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.
Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT,Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.
amoja na kuwapika , viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha.
System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.
Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini.?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!
Kuna kitu ni seriously wrong.