Vetting system ya viongozi ilishindwaje kumchuja Ole Sabaya?

Vetting system ya viongozi ilishindwaje kumchuja Ole Sabaya?

Acha ujuha we kereg'ende. Kila kitu lawama zako ni utawala wa hayati JPM. Sabaya ni mtuhumiwa bado hajatiwa hatiani.
Juha wewe kwani sabaya alijiteua? Hata kama ni mtuhumiwa lakini kwa makosa yale yanatosha kuonesha magufuli alikuwa kiongozi wa hovyo sana.
Asante mungu Kafa
 
Sijui kama umeelewa msingi wa hoja yangu.
Nimekuelewa fika mkuu, lakini huna hoja.
Ati kwa sababu mtu wa awamu ya kwanza alitenda maovu basi iwe ruksa kutenda maovu sasa.
Tunafahamu baba yake Lengai Ole Sabaya ni mmoja wa waliotenda mabaya miaka hiyo, and he got away with it.
 
Tulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.

Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.

Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.


Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.

Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?

Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!

Kuna kitu ni seriously wrong.
Nchi hii kwenye nafasi za kupeana kisiasa hakuna vetting zaidi ya connection na nepotism
 
Toka lini Masai akaweza ongoza watu Sokoine matatizo tupu,sabaya baba sabaya mwana matatizo tupu.
 
Back
Top Bottom