Viashiria: Huenda Rais Samia atakuwa dikteta kuliko Hayati Magufuli

Viashiria: Huenda Rais Samia atakuwa dikteta kuliko Hayati Magufuli

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
 
Amna kina chomsumbua mama anaona haheshimiki kwasabab ya jinsia yake, anaona mbna wakati wa mtanguliz wake wana CCM wengi waliogopa hata kuonesha makundi yakuukwa uraisi muda ukiwa bado.. Mama kazi kubwa aliyonayo kama ata taka afanye kazi kwa raha bila kuhujumiwa atafute safu yake mpya kwanzia kwene baraza la mawaziri, lasi hivyo ata endelea kupata wenge
 
Amna kina chomsumbua mama anaona haheshimiki kwasabab ya jinsia yake, anaona mbna wakati wa mtanguliz wake wana CCM wengi waliogopa hata kuonesha makundi yakuukwa uraisi muda ukiwa bado.. Mama kazi kubwa aliyonayo kama ata taka afanye kazi kwa raha bila kuhujumiwa atafute safu yake mpya kwanzia kwene baraza la mawaziri, lasi hivyo ata endelea kupata wenge
...kujihisi-hisi ndiko kutakapopelekea niliyoyaandika.

...kuhusu safu yake mpya amini nakwambia bado haitasaidia lolote maana wataumizana wao kwa wao kwa kusigana huku wakisema huyu ni wa wale na si wa kwetu.
 
...kujihisi-hisi ndiko kutakapopelekea niliyoyaandika.

...kuhusu safu yake mpya amini nakwambia bado haitasaidia lolote maana wataumizana wao kwa wao kwa kusigana huku wakisema huyu ni wa wale na si wa kwetu.
Ww tu huzijui siasa za CCM... Mwenyekiti ndio kila kitu ndio ubadilisha upepo wa chchte kile ni vile tu samia anatakiwa kutumia hyo nafasi ili aweze ku govern... Mbna hata wakati magufuli anajaribu kupang safu yake na kutoa Ile ya awamu ya nne watu waliojarbu kusema maneno mengi ila mwisho wa siku mwenyekiti ananguvu kuliko yyte yule, watamfwata na kujikomba wao wenyew period. Awe tu na msimamo na apange safu yake
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile -- uraisi ndio cheo cha juu kabisa katika nchi, ni fursa adimu anayoweza kupata mtu duniani. Ukiwa raisi una madaraka, yote, heshima yote, na neno lako ni la mwisho, kila mtu aangependa kupata nafasi hiyo

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake- muda wa watu kuonesha nia ya kutaka uongozi wa nchi utafika kwa mujibu wa katiba

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli- Kupambana ni hulka ya binadamu, hata majumbani kwetu wamama ni defensive na aggressive kuliko wanaume-

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo- raisi yeyote duniani ana kitengo cha kumlinda, na hata sasa hivi SSH anacho kwa mujibu wa katiba

...watu wa sifa,
...watu wa kumhami,
...watu wa kunyamazisha,
...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!
Muda utaongea.
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Nchi yetu ni mchanganyiko wa demokrasia ya magharibi, urusi, china, ukileta mbwembwe watu wanakukalisha tu
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Kweli tupu
 
2Q==.jpg


9k=.jpg


Intimidation garments
 
Back
Top Bottom