Viashiria: Huenda Rais Samia atakuwa dikteta kuliko Hayati Magufuli

Viashiria: Huenda Rais Samia atakuwa dikteta kuliko Hayati Magufuli

NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KABISA, HATAKUJA TOKEA DIKTETA KAMA MAGUFULI,

MWACHENI MAMA HANA TAMAA YA MADARAKA, HAWEZI PINDISHA KATIBA ILI ATAWALE MILELE,

AANGALIE TU NAMNA YA KUISHI VYEMA.NA WAPINZANI, ATAKUWA KIONGOZI MZURI,

NG'OA KABISA SUKUMA GANG WALITESA SANA WATANZANIA KWA CHUKI ZAO BINAFSI ZA UKOMOAJI
 
Ngoja niwafungie mjadala kwa kusema kwamba: ccm haiwezi kuwa na kiongozi wa maana, unaamini huamini lakini huo ndio ukweli.

Muda halali wa ccm kukaa madarakani ulishapita kitambo na sasa wako madarakani kwa muda wa kukopa kwa sababu kila aliye madarakani kwa tiketi ya ccm anapigana kufa na kupona asipoteze dola, hana kazi nyingine tofauti na hiyo.
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.

Ni miezi 9 tuu ishakua heri
 
Uzuri wa Samia ni msikivu hata kama akisifiwa anavimba kichwa kama walivyo wanadamu wengi duniani. Hana majivuno yaliyopitiliza, hajioni kama ni Mungu mtu sifa iliyo mbaya kuwa nayo kiongozi yoyote.

Uzuri wa Samia anajichanganya na watu wa mataifa mbalimbali, haogopi kujifunza.
I agree ni msikivu sana,
 
Japo samia amenishangaza kumnanga mtu wakati ameomba msamaha..
Lakini JIWE alikuwa shetani mwenye roho mbaya Sana.
 
Eti anaupenda Urais really?
Cheo kikubwa cha mwisho na neno lake linakuwa kama Amri halafu unasema anaupenda

Hivi baba anawezaje kuupenda ubaba nyumbani wakati ni majukumu yake kuwa mfalme hapo

Sasa mnataka kila analoambiwa ainamishe kichwa ama?
Sioni mantiki ya hii thread
 
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KABISA, HATAKUJA TOKEA DIKTETA KAMA MAGUFULI,

MWACHENI MAMA HANA TAMAA YA MADARAKA, HAWEZI PINDISHA KATIBA ILI ATAWALE MILELE,

AANGALIE TU NAMNA YA KUISHI VYEMA.NA WAPINZANI, ATAKUWA KIONGOZI MZURI,

NG'OA KABISA SUKUMA GANG WALITESA SANA WATANZANIA KWA CHUKI ZAO BINAFSI ZA UKOMOAJI
NYUMBU
 
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.

Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.

Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.

Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;

...watu wa sifa,

...watu wa kumhami,

...watu wa kunyamazisha,

...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!

Muda utaongea.
Watu wa sifa wameibuka wengi sana hasa jf, mama anasukumwa sana na mzazi mwenzie mstaafu na mswahili mwenzie
 
Amna kina chomsumbua mama anaona haheshimiki kwasabab ya jinsia yake, anaona mbna wakati wa mtanguliz wake wana CCM wengi waliogopa hata kuonesha makundi yakuukwa uraisi muda ukiwa bado.. Mama kazi kubwa aliyonayo kama ata taka afanye kazi kwa raha bila kuhujumiwa atafute safu yake mpya kwanzia kwene baraza la mawaziri, lasi hivyo ata endelea kupata wenge
Huko kote mnazunguka tatizo ni uwezo.
 
Nanyie mnataka kuzidi inamaana ungekua wewe ungekubali kuvunjiwa heshima nmna hiyo mbele za watu
 
Amna kina chomsumbua mama anaona haheshimiki kwasabab ya jinsia yake, anaona mbna wakati wa mtanguliz wake wana CCM wengi waliogopa hata kuonesha makundi yakuukwa uraisi muda ukiwa bado.. Mama kazi kubwa aliyonayo kama ata taka afanye kazi kwa raha bila kuhujumiwa atafute safu yake mpya kwanzia kwene baraza la mawaziri, lasi hivyo ata endelea kupata wenge
Kama anamuiga magu atafeli hajui Kama magu alikua akitembea na koromeo la simba au la!
 
Back
Top Bottom