Sasa si bora jiwe alikua anaweza kusamehe bila hata kuombwa msamaha afu mijitu humu inamwita diktetaSamia hakubali misamaha ya kibwege. Ukimzingua, Mnazinguana
Ukweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.
Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.
Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.
Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;
...watu wa sifa,
...watu wa kumhami,
...watu wa kunyamazisha,
...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!
Muda utaongea.
Wapuuzi kama kina Job na Chalamila ni kuwamaliza.kabisaA big no! huyu ataua wengi kuliko Jiwe. Huyu atazika wengi sana!
Magufuli kaanzisha mengi yakipuuzi..Hadi huu utaratibu wa rais akikutaja.. unasimama..unainama..na kubana matak.o..Magufuli aliweka precedence mbaya sana ya Rais kuabudiwa
Haya mambo yalikuwa yameisha enzi za Nyerere, Magu akayarudisha
I agree ni msikivu sana,Uzuri wa Samia ni msikivu hata kama akisifiwa anavimba kichwa kama walivyo wanadamu wengi duniani. Hana majivuno yaliyopitiliza, hajioni kama ni Mungu mtu sifa iliyo mbaya kuwa nayo kiongozi yoyote.
Uzuri wa Samia anajichanganya na watu wa mataifa mbalimbali, haogopi kujifunza.
Rebecaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, ebu rudia!I agree ni msikivu sana,
Hata wewe ni msikivu mkuu ndio maana umeniquote ππππππRebecaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, ebu rudia!
NYUMBUNAANDIKA KWA HERUFI KUBWA KABISA, HATAKUJA TOKEA DIKTETA KAMA MAGUFULI,
MWACHENI MAMA HANA TAMAA YA MADARAKA, HAWEZI PINDISHA KATIBA ILI ATAWALE MILELE,
AANGALIE TU NAMNA YA KUISHI VYEMA.NA WAPINZANI, ATAKUWA KIONGOZI MZURI,
NG'OA KABISA SUKUMA GANG WALITESA SANA WATANZANIA KWA CHUKI ZAO BINAFSI ZA UKOMOAJI
Watu wa sifa wameibuka wengi sana hasa jf, mama anasukumwa sana na mzazi mwenzie mstaafu na mswahili mwenzieUkweli ni kwamba Rais Samia anaupenda u Rais na hayupo tayari kabisa kuuachia na kwa gharama yeyote inaonekana yu-radhi kuupambania kwa namna yeyote ile.
Samia hataki kabisa kuona yeyote yule akionyesha dalili za kutaka uongozi huko mbele katika anga lake.
Samia ni muumini wa kupambwa kuliko hata Magufuli.
Niwahakikishie,bado kitambo kidogo Rais Samia ataunda jopo la utetezi kwake litalokuwa na vitengo vifuatavyo;
...watu wa sifa,
...watu wa kumhami,
...watu wa kunyamazisha,
...na mwisho watakuwepo watu wa kulipa kisasi!
Muda utaongea.
Huyo jamaa ulomuwwish R.I.P kauwa wengi sanaaUkristu unaruhusu kuua?? Acheni unafki nchi inapotea mkiwa mnaona alafu bado mnaongea ujinga. R.I.P MAGUFULI
Huko kote mnazunguka tatizo ni uwezo.Amna kina chomsumbua mama anaona haheshimiki kwasabab ya jinsia yake, anaona mbna wakati wa mtanguliz wake wana CCM wengi waliogopa hata kuonesha makundi yakuukwa uraisi muda ukiwa bado.. Mama kazi kubwa aliyonayo kama ata taka afanye kazi kwa raha bila kuhujumiwa atafute safu yake mpya kwanzia kwene baraza la mawaziri, lasi hivyo ata endelea kupata wenge
Kama anamuiga magu atafeli hajui Kama magu alikua akitembea na koromeo la simba au la!Amna kina chomsumbua mama anaona haheshimiki kwasabab ya jinsia yake, anaona mbna wakati wa mtanguliz wake wana CCM wengi waliogopa hata kuonesha makundi yakuukwa uraisi muda ukiwa bado.. Mama kazi kubwa aliyonayo kama ata taka afanye kazi kwa raha bila kuhujumiwa atafute safu yake mpya kwanzia kwene baraza la mawaziri, lasi hivyo ata endelea kupata wenge