Viatu na Kivuli cha Magufuli kwa Tanzania ya Samia - Kuna cha Kuhofia?

Mimi namshauri Rais awe firm kwenye maamuzi kuhusiana na maswala mbali mbali ya kitaifa.

Kwakua yeye ndiye mwenye taarifa nyingi na sahihi kuliko wengine atumie resources zote kuhakikisha kuwa kila decision is for the best interest of the country.

Simshauri afanye mambo kwa kufurahisha kundi lolote,

Only for the best interest of our Nation.
 
Reactions: Ame
Mshaanza Kujipendekeza kwa Mama Samia? Sio ninyi mlijaribu kutuhadaa kuwa hakuna mbadala wa Magufuli? Some of you guys mtaanza kuwa wakosoaji muda si mrefu kwa sababu baadhi yenu mlimpinga Jk kwa Uislamu wake na kumsapoti JPM Kwa Ukristo wake. Time will tell.
 
Dereva wa TISS, wewe ulilipwa kumpigia kampeni Magufuli na unanyooshea watu vidole. You're so cheap yani wewe tapeli 🚮🚮🚮🚮🚮
 
Pole Sana kwa msiba...
 
Reactions: Ame
Pole Sana kwa msiba...
Ahsante sana....For sure you understand better what it means to me amd what I have for my country....Lakini bado Mungu yu hai na yeye ndiye wakuabudiwa...Tumaini letu liko kwake na siyo kwa binadamu...Ninamwombea Mama Samia Rais wetu, kuendelea kusimama imara kama alivyo anza, Mungu aendelee kumtegemeza...
 

Hii comment ni kama huwa unahamisja kwa kila thread[emoji3][emoji3]. Nakushauri ewe mtumishi wa Umma,jiongezee kipato kwa kufanya hata na ujasilia mali mdogo mdogo,unaonekana kama maisha yako kwa 100% unategemea “kupanda daraja” na “salary Increment” peke yake. [emoji3][emoji3]
 
Kila mtu ana viatu vyake and so be it.

Samia halazimika hata kidogo kuvaa viatu vya Magufuli.

Msitupotezee Dira.
Na Propaganda zenu.

Huyo Magufuli yeye ndo alikuwa na ubora upi kwamba yake ndo benchmark ya Urais?
Hebu vingine MUWE na Aibu jamani!
 
Dah!

Yaani mtu akisema jambo zuri kuhusu mtu fulani ni anajipendekeza? Na ajipendekeze ili iweje sasa?

Na kumpinga JK kama hukuwa Muislamu basi ni ulimpinga kutokana na Uislamu wake?

Kwa watu waliomuunga mkono Magufuli ambaye makamu wake alikuwa ni Samia, sasa hivi wakimuunga Samia, nini cha ajabu?

Hao wote wawili si walikuwa ni timu moja au?

Watu kama wewe huwa mna project mlivyo kupitia watu wengine!

Yawezekana hivyo wewe ndivyo ulivyo....
 
Sure wana ubinafsi sana. Everyone deserve same and equal opportunities
Kwa kuuza mitumba ulipwe mshahara?
Omba mazingira rafiki kwako, kama wewe uko kimya unataka wao wakusemee? Acha huo utoto.
 
Huyu na Dr Slaa soon watajiunga tena opposition....aibu hawana..
Alipopigwa risasi Tundu Lissu hakuandika chochote kama kapigwa risasi panya

Tumeshawajua wanakosoa kwasababu nyuma pazia wanakuwa na ajenda fulani either udini ama ukabila au ukanda.
 

Mama si bhaghosha
 
Mungu ataendelea kukusimamia na kulisimamia taifa letu. Mama Samia atatenda makubwa kuliko watu wanavyofikiria kwani anajua taifa linategemea nini kutoka kwake. Heri ya Pasaka.
 
Hili la dini very soon litajitokeza..
Hawataweza jizuia..
Unajua haiingii akilini; wengine tulimpinga Mkapa na alikuwa Mkatoliki, tulimuunga mkono JK mwanzoni hadi makorokocho yalipoanza... najua wapo wakristu waliomuunga mkono Magufuli mwanzoni lakini baadaye wakaamua kuacha na kumpinga; sitoshangaa utakuta wapo Waislamu wanaomuunga mkono Samia na baadaye wakiona hailipi wataamua kumuacha. HIli la dini ni namna tu fulani ya watu kutaka kuzima mijadala ili wasipingwe; kwamba ukiwapinga tu wanasema ni "dini".
 

Mtazamo sahihi huu. Lakini inabidi tuwe makini zaidi. Hiyo sifa ya “kutengeneza VITU” nayo anapewa kirahisi sana. Kwanza, je, ni kweli kuwa awamu yake ndiyo imehusika na ujenzi wa miundombinu yote aliyojinasibu nayo? Halafu, pale alipohusika, yalikuwa ni maamuzi yanayozingatia vipaumbele vya taifa au utashi wake mwenyewe (at the expense of coordinated development plans)?

Uamuzi wa kuzima transparency kwenye miradi ya kimkakati unaashiria nini kuhusu ufanisi na ufisadi kwenye miradi hiyo? Nchi kweli imepata value for money hapo? Hizo sio pesa za mtu binafsi asifiwe kwa “kujenga madaraja, SGR, airports, JNHPP, kununua ndege kwa cash, n.k.” Ni muhimu ufanisi wa miradi hiyo uthibitishwe ndipo mtu apewe sifa. Hii ndio miradi yenye 10% kibao na sifa rahisi rahisi.
 
Huyu na Dr Slaa soon watajiunga tena opposition....aibu hawana..
Alipopigwa risasi Tundu Lissu hakuandika chochote kama kapigwa risasi panya
Boss unasema kwa sababu unajua sikuandika "chochote" au kwa sababu unaamini sikuandika"chochote"?
 
Nataka ninukuliwe vizuri kabisa ...legacy ya JPM ni ngumu kuivaa! Huko mbele atakumbukwa kuliko hata alivyozikwa! Tena wasiompenda sasa ndio wataoanza kukiri na kutubu! Naomba mtunze hii comment.
Absolutely, umeandika vyema kabisa, ni vigumu saaaanaaa kuona umuhimu JPM mapema hii, time will tell

NAITUNZA COMMENT YAKO!
 
Aprili 31, 2021?

Pole in advance....maana naona matusi na mapovu ya watu tayari 😄

Hana jipya huyu mzee mwenzetu,
Nachokiona ni anajiandaa kufanya zile kampeni zake za awamu ya JK. Maana anatambua kabisa hii nizamu ya # DiniYetu.

Kifupi apige kimyaa kama kipindi cha Maliyamungu muaji na mtekaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…