Viatu na Kivuli cha Magufuli kwa Tanzania ya Samia - Kuna cha Kuhofia?

Viatu na Kivuli cha Magufuli kwa Tanzania ya Samia - Kuna cha Kuhofia?

Binafsi nimependa sana alivyoianza safari yake tangu aapishwe. pia nadhani tumpe siku 100 tangu kuapishwa ili tuone hatua gani atakua ameipiga kwa kuhusianisha na tulipotoka,alipoachiwa kijiti na JPM na safari yetu ijayo yeye akiwa nahodha kwenye jahazi hili..

Sijaipenda.
Unampa vipi siku 100 na ameanza mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa wilaya, wakuu wamikoa walewale wa maliyamungu.
 
Back
Top Bottom