Vibahasha vya khaki vinavyozuia harakati na kuua ndoto za vijana

Vibahasha vya khaki vinavyozuia harakati na kuua ndoto za vijana



Asilimia 80 ya Watanzania wanaishi vijijini, hivyo ni kweli huko vijijini ndiko kwenye habari nyingi, ila pia ili kuzifikia habari hizo huko ni lazima waandishi wawezeshwe ki logistic ili wafike huko kijijini, hakuna sababu ya waandishi kusota, kutembea kwa miguu, kulala nje, kulala njaa, akifuata story kijijini!, kama hakuna logistic za kuwafikisha waandishi vijijini, then waacheni waandishi tubanane hapa hapa mjini!.

Pasco[/QUOTE]

Kwa maoni yako Pasco huko vijijini ambako ndiko Watanzania wengi waliko hawafikiwi na waandishi wa habari kwa sababu bahasha hazipo?????
 

Asilimia 80 ya Watanzania wanaishi vijijini, hivyo ni kweli huko vijijini ndiko kwenye habari nyingi, ila pia ili kuzifikia habari hizo huko ni lazima waandishi wawezeshwe ki logistic ili wafike huko kijijini, hakuna sababu ya waandishi kusota, kutembea kwa miguu, kulala nje, kulala njaa, akifuata story kijijini!, kama hakuna logistic za kuwafikisha waandishi vijijini, then waacheni waandishi tubanane hapa hapa mjini!.


Pasco

Uzalendo wako uko wapi? Nilisoma mara mbili mbili hapo kwenye blue, kweli taarifa za vijijini haitandikwa kwani bahasha za kaki zenye noti nyekundu 3 hazipo.
 
Uzalendo wako uko wapi? Nilisoma mara mbili mbili hapo kwenye blue, kweli taarifa za vijijini haitandikwa kwani bahasha za kaki zenye noti nyekundu 3 hazipo.
Mkuu Gwailo, ndio maana kuna vyombo vya habari vya umma, paid by taxpayers money, hilo ndilo jukumu lake!, vyombo binafsi ni ama viwezeshwe waandishi waende bush, au waendelee kuvuta na tuendelee kubanana hapa hapa!. Kanisome hapa
[h=3]Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa!.[/h]Pasco
 
Mkuu FF, hujakoisea!.
Ukisema Pasco wa vibahasha utakuwa hujanitendea haki!, watu watadhani Pasco ndio mpokea vibahasha mkuu humu!, mimi sio mpokeaji bali ni msambaza!.

Hivyo ungesema Pasco Msambaza Viba..
Pasco.

Na hivyo vibahasha unavyovisambaza unakuwa hujavipokea kwanza na unafanya kazi ya bure kuvisambaza?
 
Na hivyo vibahasha unavyovisambaza unakuwa hujavipokea kwanza na unafanya kazi ya bure kuvisambaza?
Nafanya kazi ya "kondarasi ya habari", hivyo hivyo vibahasha ni sehemu tuu ya wema wangu kwa wenzangu, kwa sababu nalipwa "consultancy fee" kwa viwango ninavyovijua mimi!, mfano kuna legal firm fulani hapa Dar es Salaam, inacharge legal fees za US $, 5,000 per hour per consultacy!, na taasisi zinalipa!, why not media consultacy fee?.

Mwanzo nilipokuwa mwandishi, you work for money!, unafanya kazi ili ulipwe fedha uendeshe maisha, na huko zikitokea hizo bahasha, unaongezea kwenye kile ki meagre income cha media za bongo!. Nilipotimuliwa "newsroom" I learned the hard way!, ndipo nikajifunza not to work for the money anymore!, instead, make money and use that money to work for you!, hivyo kazi yangu sass ni kutoa "ushauri wa habari" people pays for ushauri, na mimi nautumia wema huo huo kuwakirimu media legally!. Nasisitiza Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa!.

Pasco
 
Vyombo vya umma kaka havipo kwa ajiri ya public interests
Vyombo vya umma ni public media, vipo kwa ajili ya public interest!, sasa kama havitimizi wajibu wake kuihudumia public ipasavyo na hii public tukiwemo mimi na wewe, tumenyama na kuwaacha wafanye watakavyo!, tatizo hapa sio hivyo vyombo!, tatizo ni hiyo public haijui wajibu wake kwa vyombo vyake!, ndio maana kuna mahali nimewahi kusema Watanzani tupunguze kulalamika na kuishia pointing fingers only!, tuanze kutenda kwa ku take action for the better!.
Pasco
 
Very complicated....nafikiri personal dream pia inaumuhimu wake
No it is not complicated, media ni kazi ya wito kama ulivyo ualimu wa primary!, ukiingia dream yako ni kufundisha watoto, na labda siku moja ufikie level ya mwalimu mkuu!, kwenye uandishi nako ni vivyo hivyo, ukiingia with dreams siku moja uwe editor!, unapogundua huyo editor ambaye you dream to be, ndio kwanza bado anaishi nyumba ya kupanga after 30 years of service!, jioni anaomba bia!.Utaendelea ku dream?!.

Hata hivyo kuna waandishi wa aina 3.

  1. Wale waliokosa cha kufanya, hivyo kukimbilia uandishi kwa vile hawana jinsi, wameingia uindishi kwa bahati mbaya na wakikutana na bahasha, wanafakamia!.
  2. Waandishi waliosomea uandishi kama kazi, carrier, hawa wanakuwa waandishi wapate pesa waendeshe maisha, wakipata greener pasture au bahasha, wanakuwa more than happy!.
  3. Kuna waandishi wa wito, hawa money is not the motive, unaweza kukuta walisomea vitu vingine vyenye kulipa zaidi, lakini wanafanya uandishi just for the love of it!, hawa hata ukiwapandisha cheo wawe wahariri wakae desk, hawataki wanafanya uandishi just for the love of it, hawa kamwe hautawakuta kwenye foleni za bahasha!.
  4. Kuna kundi la mwisho ambalo hili ni hatari, hili ni la kada ya waandishi walioingia uandishi kwa ajili ya bahasha tuu!, hawa wako tayari kushinda mahali siku nzima hadi bahasha zitoke!. Na zikikosekana story hawatoi na humu ndimo walimo zaliwa watu wanaoitwa ma "kanjanja" ambao wengine wala sio waandishi kabisa ila wana pose kama waandishi!.
Pasco
 
Mkuu alphoce Mawazo, na mimi ngoja nikuite kama kaka unavyotambulika humu, hivyo kamanda Alphonse Mawazo, kwanza asante kwa bandiko lako hili!,

Kuhusu vijana kwenye uzi huu umezungumzia vitu vitatu vikuu,

  1. Ndoto
  2. Taaluma, professionalism
  3. Reality, (bahasha)
  4. What is vs what ought to be
Mimi nimeguswa pale tuu ulipowazungumzia vijana waandishi wa habari kwa sababu na mimi ni mwandishi wa habari na mwanzo pia nilikuwa kijana!.

Umeanza hivi

Jee ni kweli hawa waandishi vijana walikuwa na ndoto kubwa kubwa?!. Ndoto gani hizo zilizouwawa na vihela vidogo vidogo visivyojaa bahasha?!.

Unaumizwa na na jinsi
wanavyopigwa vumbi na jua kutafuta habari?,
wanavyoshinda kwenye mabenchi ya wakubwa bila kutafuta habari?,
wananavyotafuta vibahasha vya khaki vyenye elfu 30?
wanavyoandika sifa za uongo za mafisadi na wala rushwa hao?.

Kumbe taarifa za ukweli ni zile tuu zilizoko vijijini?!, ndio maana wanaandika sifa za uongo?!, ila pia umetoa sababu za wao kutokwenda vijijini

Msingi halali wa bahasha za waandishi ni kuwezesha kutimiza makumu yao kikamilifu, na haswa logistics, mimi naziita hizi ni bahasha halali za uwezeshaji!, waandishi kama taaluma nyingine zote, wanabidi wawezeshwe ili watimize majukumu yao kikamilifu!.

Asilimia 80 ya Watanzania wanaishi vijijini, hivyo ni kweli huko vijijini ndiko kwenye habari nyingi, ila pia ili kuzifikia habari hizo huko ni lazima waandishi wawezeshwe ki logistic ili wafike huko kijijini, hakuna sababu ya waandishi kusota, kutembea kwa miguu, kulala nje, kulala njaa, akifuata story kijijini!, kama hakuna logistic za kuwafikisha waandishi vijijini, then waacheni waandishi tubanane hapa hapa mjini!.

Kwa uelewa zaidi kuhusu Waandishi na bahasha, pitia hapa
Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni rushwa!

Pasco
E bwana huyu ni Pasco? Aisee unatisha inamaaana Lowassa ampe mtu bahasha halafu huyo mtu akamwandike vbaya? Kwani hizo habari hawaziuzi wapate hela za kujikim duu bongo ni zaid ya uijuavyo
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Mawazo ana maono mazuri sana. Kulengesha kwenye vibahasha ni mkondo mmojawapo tu wa kuonyesha jinsi vijana hawajitambui. Vijana ndio nguvu kazi ya taifa. Kama viongozi wa taifa hawawezi kutambua hilo au kama wanalitambua na kulikwepa kwa njia ya vibahasha na njia nyinginezo, hapo ndio vijana wanatakiwa wajitambue na wajitume ipasavyo kwanza kubadilisha mfumo ili kuleta maendeleo chanya kupitia vijana; na pili kuufanya uongozi utambue kuwa vijana ndio wenye nchi na wana uwezo wa kuleta mapinduzi ya kimaendeleo.

Vijana wasipojitambua ni kazi bure miaka nenda watazeeka bado wanalalamika maisha magumu kumbe ugumu wanaukazia wao wenyewe bila kujua. Pasco kaamka nusunusu akiamka jumla hata vijijini atafanya kazi tena kwa mshiko mzuri tu. Lakini kuamka peke yako ktk nchi hii haitaleta badiliko lolote. Ndio sababu hata vyama vilivyoko sasa havijaamka inavyotakiwa kwani hakuna chama ambacho kimeweza kuaminisha wananchi wote kwa ujumla kuwa tukipita njia hii tutavuna maziwa na asali!
Tusisahau maendeleo yanaletwa na watu hususani vijana. Hayataletwa kwa mikopo kutoka nje (tunadaiwa laki 6 kila mTZ), wala kwa wazungu na wachina kuja kuwekeza hapa kwetu. Maendeleo ya mTZ yataletwa na kila mwananchi kwa kuwajibika ipasavyo akijua kuwa akitimiza wajibu wake kila mtu atakula, atalala, atattibiwa, atavaa, atasafiri, na atasoma kwa kadri ya akili yake inavyomruhusu (kwa manufaa yetu sote).
 
Back
Top Bottom