Vibahasha vya khaki vinavyozuia harakati na kuua ndoto za vijana

Mkuu Pembe, nimeamka kamili ila naendelea kubaki kitandani huku nimefunga macho ukidhani nimelala!.
Pasco.
 
Pasco anatetea bahasha au anapinga?haeleweki!Kamanda anazungumzia bahasha na sio pesa halali.mbona wewe unataka kumaanisha bahasha ni haki yako
Mkuu Boban, ni kweli natetea bahasha za halali kama logistic halali kwa waandishi wa habari ambayo ni haki yao!. Hadi Ikulu wanalipa, Chadema wanalipa na yeyeto mwenye kuhitaji mwandishi amuandike, itambidi kulipa!.
Kanisome hapa labda utanielewa [h=3]Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa!.[/h]Pasco
 
E bwana huyu ni Pasco? Aisee unatisha inamaaana Lowassa ampe mtu bahasha halafu huyo mtu akamwandike vbaya? Kwani hizo habari hawaziuzi wapate hela za kujikim duu bongo ni zaid ya uijuavyo
Mkuu Kitali, zile bahasha sio malipo ya kuandika habari, bali ni kusupport tuu upande wa logistic!, japo umentaja El usifikiri anaandikwa vizuri kwa sababu hiyo, bali the guy is real good ndio maana hana kibaya cha kuandikwa!, wanaomsema vibaya humu ni chuki zao tuu na uoga wao wa 2015!.
Pasco
 
Lkn waTZ hebu tumuogope mungu kwa sababu ni kweli km hasa vijna ndio wenye nguvu ya kulikomboa taifa lilipofika je kuna haja gani ya kufanya kazi ya kidhalimu kwa ajili tu upate bahasha ya khaki? mbona ni udhalilishwaji wa hali ya juu sana km kijana? hivi km tunadhamira ya dhati juu ya nchi yetu kunahaja gani ya kijna kurubuniwa eti jiunge chama fulani maarufu ili upate ajira!!! je ni ajira gani km c kusugua benchi ktk maofisi ya wakubwa kwa kutafuta udaku ili kuweka ktk vyombo vya habari kwa kumsifia mtu kinyume na astahilivyo? au kijana unakubali kubebwa ktk gari na kupelekwa ktk sherehe ya chama ili kujaza watu wengi na hapo unajua fika kabisa chama hicho ni kichafu? au unakuta kijana kachoka na anakwambia mi bora nipate kazi tu huko hata km amechafuka. Ukombozi wa nchi hii upo kwa vijana na kuamua kwao wazee wa nchi hii hawana nafasi kabisa. Tubadilike vijana na tukatae kuahidiwa ajira wakati tulishuhudia watu elf 15 pale uwanja wa taifa wakipigana kwa nafasi 75 tu, sasa hao wanaokwambia njoo upate ajira jevni kweli au njaa tu inakuponza. It is better to die for things that will live than live for things that will die.
 
pamoja na kwamba waandishi njaa wanavitumia vibahasha hivyo haramu kununulia viwanja MBAGALA , MWANDEGE NA CHAMANZI , LAKINI WANABAKI WAMEDHALILIKA SANA !
 
RIP KAMANDA ALPHONSE MAWAZO!. VERY SAD!.

Pasco
 
Pumzika kwa amani kamanda Mawazo

Hakika ulikifia kile ulichokiamini

Walafi wa madaraka wakaamua kumwaga damu yako ili kulinda madaraka waliyo nayo, damu yako itawatesa sana maisha yao yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…