Vibaka Afrika Kusini walipua gari ya hela kwa bomu na kupora pesa (inakuaje wahalifu tena vibaka kumiliki silaha nzito za gharama?)

Vibaka Afrika Kusini walipua gari ya hela kwa bomu na kupora pesa (inakuaje wahalifu tena vibaka kumiliki silaha nzito za gharama?)

Judah Tribe

Senior Member
Joined
Sep 1, 2024
Posts
159
Reaction score
594
Leo saa 6 mchana vibaka wenye silaha Nzito wameipiga kwa BOMU gari iliyo kuwa imebeba fedha na kupora fedha

Tukio Hilo limetokea mtaa wa kwathema Gp (Gauteng) gari hiyo iliyo beba fedha ikiwa barabarani vijana sijui waliitrack vipi ghafla kilisikika kishindo tu cha bomu na majibizano ya risasi makali kufuatia Kati ya hao WAHALIFU na walinzi

Lakini walinzi licha ya majibizano hayo hawakufanikiwa kuokoa kiasi hicho cha fedha na wahalifu kufanikiwa kutokomea na fedha hizo

PICHA ZAIDI HIZI CHINI

SWALI :- JE SOUTH AFRICA VIBAKA WANAPATA WAPI SILAHA NZITO KAMA HIZO MABOMU AK47 NK?
 

Attachments

  • 1728753285818.jpg
    1728753285818.jpg
    226.7 KB · Views: 14
Leo saa 6 mchana vibaka wenye silaha Nzito wameipiga kwa BOMU gari iliyo kuwa imebeba fedha na kupora fedha

Tukio Hilo limetokea mtaa wa kwathema Gp (Gauteng) gari hiyo iliyo beba fedha ikiwa barabarani vijana sijui waliitrack vipi ghafla kilisikika kishindo tu cha bomu na majibizano ya risasi makali kufuatia Kati ya hao WAHALIFU na walinzi

Lakini walinzi licha ya majibizano hayo hawakufanikiwa kuokoa kiasi hicho cha fedha na wahalifu kufanikiwa kutokomea na fedha hizo

PICHA ZAIDI HIZI CHINI

SWALI :- JE SOUTH AFRICA VIBAKA WANAPATA WAPI SILAHA NZITO KAMA HIZO MABOMU AK47 NK?
Hiyo ni money heist yani imekuwa kawaida Sauz.

Isanga family
 
Leo saa 6 mchana vibaka wenye silaha Nzito wameipiga kwa BOMU gari iliyo kuwa imebeba fedha na kupora fedha

Tukio Hilo limetokea mtaa wa kwathema Gp (Gauteng) gari hiyo iliyo beba fedha ikiwa barabarani vijana sijui waliitrack vipi ghafla kilisikika kishindo tu cha bomu na majibizano ya risasi makali kufuatia Kati ya hao WAHALIFU na walinzi

Lakini walinzi licha ya majibizano hayo hawakufanikiwa kuokoa kiasi hicho cha fedha na wahalifu kufanikiwa kutokomea na fedha hizo

PICHA ZAIDI HIZI CHINI

SWALI :- JE SOUTH AFRICA VIBAKA WANAPATA WAPI SILAHA NZITO KAMA HIZO MABOMU AK47 NK?
Planned
 
Back
Top Bottom