Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Yani Arusha ndio inasikitisha yani... Mtalii anatoka Ulaya huko anakuja anakutana na uchafu kila kona..Naomba sana hili lifanyike kwenye majiji yote
Yaani jiji la kitalii Arusha ukipita barabara ya kuelekea stand kuu unakutana mpaka na vitanda, magodoro, makabati yaliyofubaa n.k
Vibanda viondolewe vyote
Mtapigwa tu.Utawala unawasubiri mnuke.Sisi tumelipia na kitambulisho cha machinga sasa mtuguse tunuke[emoji205]
Shida inaanzia hapo kwenye floors wateja hatuna utamaduni wa kupanda magorofa zaidi ya floor 2! Ikizidi hapo ujue huyo wa 3 na kuendelea itakula kwake ndo maana hata pale complex machinga hawapataki! Wateja wa wamachinga tunawajua!HIVI MSAJILI HAWAWEZI KU SACRIFY MAGOROFA MATATU TU KARIAKOO YALIYOFUATANA IKATENGENEZWA MALL KUBWA KWELI YA GHOROFA 10 IKAJENGWA KWA UFUNDI NA RAMANI YA AINA YAKE IKABEBA MACHINGA 10,000 WALIOPO KARIAKOO SEREKALI IKAWA INAPATA KODI YAKE KWA WEPESI?,MAANA MACHINGA WAMEIKOMALIA SANA KARIAKOO NA KUWAFUKUZA WAKATI MWINGINE SIO HAKI,PIA KUWAHAMISHA INAKUWA NGUMU,KARUME PABAKIE,ILALA,PABAKIE,MACHINGA COMPLEX ISANIFIWE IBADILISHWE ILI YAWE MAKAZI NA FIDIA KWA MAJENGO MATATU WATAKAYOWAPA JIJI KATIKA UJENZI WA MALL.
*Ground zero ikawa Parkings
*1&2floor ikawa nguo za mitumba
*3&4floor ikawa wauza vyombo
*5&6floor electronics goods
*7&8floor ikawa viatu of varieties
*9 floor restaurants
*10floor mixtures small items.
Ndio Adventure zenyewe hizooYani Arusha ndio inasikitisha yani... Mtalii anatoka Ulaya huko anakuja anakutana na uchafu kila kona..
Mpaka magodoro, majiko ya gesi ysliyooza na takataka zingine, hasa kutoka barabara ya round about ya mianzini kushuka stand kuu pana muonekano mbaya sanaYani Arusha ndio inasikitisha yani... Mtalii anatoka Ulaya huko anakuja anakutana na uchafu kila kona..
Sio adventure ni ujinga na uchafuNdio Adventure zenyewe hizoo
Kwani mmeambiwa msiuze? Fanyeni biashara halali mahali panapofaa wateja watawafuata. Kwanza walio wengi biashara si zao wamewekwa na wakwepa kodi kwa ujira kiduchu. Acheni kudeka!
?
Lakini Sheria za mipango mini lazima zifuatwe, siasa inatuharibia miji yetu.Ile Machinga Complex imejaa mkuu? Wamachinga hawaitaji gorofa mkuu.
Wewe jamaa unaielewa vyema concept ya marching guys! Na hawa watu asili yao ni kutembeza bidhaa ila walipoiboresha huduma kwa kuona kutembea hamna tija ndio wakaamua kuwategea wapita njia sasa!Wamachinga huwa wanapenda kukaa sehem zenye mkusanyiko wa watu wengi hasa wale ambao wapo katika movement kubwa ya kutoka sehem moja kwenda nyingine.
Kwa jiji la Dar es Salaam sasa hivi jinsi lilivyo inahitajika kubuni stendi kubwa nyingi sanaa na kuhakikisha daladala za kwenda sehem mbalimbali zinakutana katika hizo stendi.
Mfano stendi kama Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta(Bandarini na Stesheni), Makumbusho, Mwenge, Mbagala rangi 3, Ubungo, Tabata, Buguruni, Temeke, Tandika, Kigamboni, Gongo la mboto, Tegeta, Mbezi na maeneo mengi ambayo yanakuwa na movements ya watu wengi.
Stendi zijengwe kwa kuwezesha daladala ziwe zinalazimika kuwamwaga watu hapo na hapo wanatakiwa kuunganisha safari zao bila ya kutembea tena umbali mwingine kufuata daladala zingine.
Hii itasaidia sana kuwaondoa wale wamachinga wanao jipanga kando ya barabara kuvizia hizo movements za watu.
Kingine mfano wa stendi ya makumbusho pale hakuna wamachinga wengi wamejipanga kando kando ya barabara za kuingia kuelekea stendi sababu hawana huo ulazima. Wamachinga wengi wapo ndani mule stendi wamejibana.
Mtu hawezi kushuka ndani ya gari huku mwanzoni mwa zile barabara zinazotumiwa na daladala kuingia stendi ya makumbusho kisa tu anunue kitu ambacho akifika ndani mule stendi anaweza kukipata na akaunga Safari yake bila usumbufu.
Wamachinga wateja wao ni watu ambao wananunua vitu kwa kushtukiza yaani, ameona bidhaa rahisi kubebeka na akaona kule nyumbani sina hiko kitu basi ananunua na kuendelea na safari yake.
Tofuati na hayo ma Mall na Supermarket ambapo mteja huwa anajipanga kabisa kuwa naenda kufanya shopping sehemu fulani.
Kwahiyo kusema wamachinga wakusanyike sehemu sijui kama machinga Complex pale hakuna movement ya watu ya kueleweka ni kama kuwafanya wajiwekee kishopping Mall chao na kamwe hawawezi kupata wateja wao wa siku zote ambao ni watu wapita njia tu.
Hili zoezi liliahirishwa sababu ya msiba wa Rais Magufuli. Tangazo lilishatolewa ilikuwa wahame siku nne baada ya kifo chake ikaahirishwa.Watakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Ni ngumu kumkumbuka mwenye njaa alwaysMwenye shibe
Huwa nawakubali MAMA na DADA zetu kwa Usafi aisee hii ndio nature yao na nililitegemea hili. ila ANGALIZO isije kuwa mambo ya "Tengeneza tatizo halafu Tatua tatizo "Ha ha ha!!!! Awamu ya sita hii. Tutademka sana. Asante mama mji sasa utakuwa safi!!!
The same same wote nao ni wachuuzi na sio wazalishaji.Tunataka watu wazalishe tuuze nje na sio kuwa soko tu.Hao wenye maduka pia wao ni madalali wa uchumi wa wapi mzee maana 80% ni asian countries products
Kabla ya kuzianzisha hizo gezaulole ni muhimu kupeleka vitu muhimu vipatikanayo mijiniMwalimu alianzisha Gezaulole, Kibugumo, Tegeta n.k. Watu waliona kama wanaonewa wakati huo, lakini waliokubali kwenda huko leo je? Walijipatia maeneo burebure leo wanayauza kwa bei mbaya!! Serikali ianzishe Gezaulole mpya machinga wapelekwe huko. Maisha ya mjini hawayawezi!
Maelekezo ndiko yanakotoka yaani ndiyo inayotawala behind the curtain.ingawa huyu ni mtekelezaji tuHii ni awamu ya nne copyright...
Waweke mazingira wezeshi na masoko sio unakopa million zako unalima halafu mda wa mavuno watu wanajipangia bei wanayojiskia wao! Mambo ya kishoga kabisa!The same same wote nao ni wachuuzi na sio wazalishaji.Tunataka watu wazalishe tuuze nje na sio kuwa soko tu.
Watu walime bamia wauze Kenya,parachichi China,madini wauze nje,mbao wauze china,mifugo,nguo nk.
Kundi kubwa lijikite kwenye uzalishaji kama ilivyokuwa enzi ya ukoloni uzalishaji ulikuwa ni Mkubwa sana.
Nje demand ni kubwa Sana shida hatuna sera, mwendazake alikazania zaidi marufuku.Uchumi na marufuku ni vitu viwili tofauti vinavyopingana.
Hivyo havina kazi tena ulikuwa mradi wa mzeeNadhani na vitambulisho vya machinga havitaonekana tena ni uchafu pia
Jf wote matajiri[emoji1787][emoji1787]Hii Nshu ya wamachinga kwa Humu Jf, imenifanya nigundue Kua members wa humu wengi ni wafanya biashara wakubwa, wameajiriwa na hawana ndgu hoe hae,kama wamachinga ,mama ntilie....So kwao hawa watu wakifukuzwa bila kuandaliwa mazngra mazuri ni sawaa tu.....Dahh inafkrisha chuki na ubnafsi ndani yetu sie Binadamu.