Vibanda vya wamachinga mtaa wa Msimbazi Kariakoo vyasambaratishwa

Vibanda vya wamachinga mtaa wa Msimbazi Kariakoo vyasambaratishwa

Kuna watu wanawajaza ujinga kwamba wakikomaa hawawezi kuwatoa eti wao ni jeshi kubwa.
 
jipange kukabwa sana na mabasi kutekwa sana mikoani hilo kundi linalotolewa hapo + vyeti feki + wahitimu ambao Jobless kundi linarud mtaani kuangalia alternatives za maisha tegemea tabia za kipindi cha Jakaya kurudi kwa kasi sana , ilibid chief angaya aanze na kuandaa mazingira mazuri mkoa mzima wa dar kisha ndo awafukuze , juzi nmepita maeneo ya Yombo nmekuta kero ya eneo elekezi lipo kwenye njia ya maji taka yanayofunguliwa na wanaoisho kwenye miinuko , hii ilibidi serikali wapige streams za majitaka ili majitaka yasitapakae na kuwa kero , kwa hali kama hii ndio maana vijana wengi walikuwa wanakomaa barabarani sababu soko na mazingira ni rafik kwao
Ni kuimalisha ulinzi ukikatwa kwa ujambazi ni shaba tu!
 
Back
Top Bottom