jamaa kaonesha ujinga wa hali ya juuAcha uwongo wewe, makadirio ya sensa 2012 ilikuwa ni jumla ya wa-TZ M 60, na sensa 2022 ni M 61, sasa huoni karibuni kwa zaidi ya miaka 10 wamezaliwa wa-TZ M 1 tu?
Au unachangamsha genge tu?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hahaaa, kuna wale ma winga wanaosambaza mzigo jumla naonaga wanapata pesa kuliko wanaouza dukani kwa mtuIla mawinga wengine tamaa, kuna sehemu nilienda naijua bei ya kitu husika, winga kajifanya ndo mwenye duka bei mara 3 ya bei husika nikaamua kusepa
Hapo dereva kama hana matumizi mabaya anajenga fastaBolt wana perce25
Bolt wanakata asilimia 25 ya pesa utakayopakia abiria,mfano abiria ame request route ya elfu 2 bolt ya kwao ni 500 bodaboda ya kwako ni 1500.
Mfano kwa siku umebeba abiria 20
20*1500.=30,000 na kwa bodaboda wa mjini kubeba abiria 20 kwa siku ni jambo la kawaida,Sasa ukiwa na kampuni tatu bolt,Uber na indrive kwa siku utakuwa unaingiza kiasi gani?
Vijana stareheHapo dereva kama hana matumizi mabaya anajenga fasta
Na uvivu piaVijana starehe
Akishapata elfu 30 anaenda kulala Wana msemo wao maisha ni yale yaleNa uvivu pia
Ha ha haa, kweli kazi ngumu mpaka kutoboa Mungu akushike mkonoAkishapata elfu 30 anaenda kulala Wana msemo wao maisha ni yale yale
Ushauri safi kabisaNenda chuo kwanza
Na pia ukiwa mwisilamu... uhakika...Habarini ndugu wana JamiiForums,
Hivi kiwanda cha Bakharesa pale Buguruni ni uhakika kupata kazi ya kibarua ukiwa na barua ya utambulisho wa makazi?
Na hivi wanalipa kwa siku au wiki?
Winga pale ni uchangamfu. Kutafuta watu hata online. Wengine wanatafta wadau Kongo, Malawi na Zambia. Mpaka msumbiji. Wanakuaga na brand names na makundi ya wasap. Muhim ni Kujua machimbo tuUkiwa winga unaweza laza sh ngapi baada ya kutoa matumizi?
Ndugu yangu kazi zenyewe unazijua au unaongea tu unapandisha na kiloba cha kilo 25 au 50 mpaka ghorofa ya nane kutumia ngazi sku nzima ndio kazi hiyo then unalipwa 4000Si bora hiyo kuliko kukaa idle ukihesabu nyota angani
Haaa haaa haaa, mkuu mwaka gani hiyo hesabu ya cents? Hawa wahindi na waarabu ni wauaji sana.Niliwahi kwenda kwa mo nikapigiwa hesabu kwa cents kipindi flani nilipotoka pale sikugeuka nyuma.
Mwaka juziHaaa haaa haaa, mkuu mwaka gani hiyo hesabu ya cents? Hawa wahindi na waarabu ni wauaji sana.
ππππHiyo 10k ipo ila sio kwa kazi kama hizo
Nadhani ukienda kwenye viwanda vya steel unaweza ukapata hadi 15k
Ila changamoto yake ni kwamba unaambiwa kila mfanyakazi unayemkuta pale ujue hiyo ni siku yake ya kwanza hapo kiwandani.
Ukishachukua malipo ya 15k ukitoka hapo utachagua mwenyewe ukapatiwe huduma kati ya Amana au Muhimbili
Au usizi home ujiuguze mwenyewe
Daaah[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo 10k ipo ila sio kwa kazi kama hizo
Nadhani ukienda kwenye viwanda vya steel unaweza ukapata hadi 15k
Ila changamoto yake ni kwamba unaambiwa kila mfanyakazi unayemkuta pale ujue hiyo ni siku yake ya kwanza hapo kiwandani.
Ukishachukua malipo ya 15k ukitoka hapo utachagua mwenyewe ukapatiwe huduma kati ya Amana au Muhimbili
Au usizi home ujiuguze mwenyewe
AiseeNakumbuka nilishawahi fanya kazi kiwanda cha kusaga chai yaani unaingia asubuhi saa 12 unatoka jioni saa 12 au saa zingine unatoka asubuhi kesho yake kwa ujira wa 2500/day na hakuna overtime.... Maisha ni safari mazee.
Nimekuelewa mkuuMkuu najua ugumu na maumivu ya kuishi bila kazi hasa hapa mjini. Aisee pale kazi zipo huwezi kwenda pale ukakosa kazi lakini ndugu yangu UNA MANGUVU? Mkuu pale kuna ule mpigiko ambao utahisi dunia imekuacha, ni rahisi watu kusema ni bora hicho kidogo kuliko kukosa kabisa lakini nakuhakikishia kuwa aslimia zaidi ya 50 ya vibaruq pqle huacha kazi siku ya kwanza halafu aslimia 30 huvumilia hadi mwisho wa wiki.
Yupo jamaa yangu anaitwa Ngosha ni wale wasukuma wazee wa kazi nzito, aisee mbona aliingia pale akatema mzigo siku ya kwanza. We fikiria kupiga kazi ngumu haswa kwa masaa 12 halafu unarudi nyumbani na 2000 hapo hatujapigia nauli.
Na ubaya zaidi wa ile kazi haupati nafasi ya kusema unaweza kutoka pale ukapata muda wa kwenda kuzurula kutafuta vibarua sehemu nyingine.
Yamkini bahati ipo kwako na una huo moyo na uwezo wa mapambano nenda kajaribu bahati yako. Lakini kwa umbali wa Bunju sioni kama itakua na manufaa sana kwako maana hata nauli ya kurudi unaweza kukosa.
Iwapo unatokea Bunju nauli pekee kwa siku ni karibu 3000, ukiwa pale kiwandani tudanye umepiga chai ya buku na lunch ya 1500. Ukanywa maji ya jero. Halafu mwisho wa siku ukalipwa 4000 aisee itakua ni balaa. Piga hesabu zako vizuri mkuu na ninakuombea kheri kwa Mungu akusaidie katika mapambano haya.
Kabisa mkuunimejifunza kitu Tanzania hii ukipata ajira nzuri inakulipa na mahitaji Yako yanaenda mshukuru Sana mungu....
Sent using Jamii Forums mobile app