Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni

Hapo dereva kama hana matumizi mabaya anajenga fasta
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Daaah[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka nilishawahi fanya kazi kiwanda cha kusaga chai yaani unaingia asubuhi saa 12 unatoka jioni saa 12 au saa zingine unatoka asubuhi kesho yake kwa ujira wa 2500/day na hakuna overtime.... Maisha ni safari mazee.
Aisee
 
2017 hiyo,

Nilienda kupiga deiwaka kiwanda cha kukamua mafuta ya alizeti na pamba (jina la kiwanda kapuni).

Vumbi lake ni noma, balaa...
Unavaa mask lakin ni hamna tu.

Ukitoka hapo macho, masikio, pua vimejaa vumbi la pamba.

Kikohozi kooh kooh kama chotee...
Nilikimbia mwenyewe baada ya siku 3.
 
Nimekuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…