Nawafahamu baadhi ya vibarua wa hapo walio jenga na wengine wamejiongeza ni madereva.Ref Lucas TriganTunyamaze yaliyopo viwandani kwa hawa wanaojiita matajiri na kujifanya wanapenda dini na kutoa misaada bora kubaki kimya.
Maana uwezi kulipa ujira mzuri kila mtu.
Viwanda au kampuni yoyote kubwa idadi wanayo lipwa vizuri iwezi kufika hata 100.
Tena Azam ndio kabisa
Si Sawa na kukaa bure....Viwandani wananyonya sana wafanyakazi.
Malipo ni kiduchu sana.
Labda kujenga chumba kimoja na vibati vilivyochakaa! Huwezi kufanya kazi kwa muindi/mwarabu ukajenga nyumba ya maana. Bahkresa ndo hao hao! Wafanyakazi wao kwanza wanawafanya misukule ndo wanawaajiliNawafahamu baadhi ya vibarua wa hapo walio jenga na wengine wamejiongeza ni madereva.Ref Lucas Trigan
Na hapo unaweza ukalipuka huo uji😀 Jamaa ananambia uji wa chuma huu hapa , wewe unapiga mzigo hapa (Metro Steel cha Jeti Lumo )
alienda siku moja tu
Pole sana ndugu yangu! Zingatia wasijekuwa tayari wameishakukabidhi kwa mashetwaini yao yatakufuata hata huko! Hao jamaa sio poa kabisa😔😄😄Nipo kwa muhindi hapa.
Muda wowote nakula termination. Nakwenda nssf kuchukua kifungu changu naenda handeni kufuga kuku na mbuzi.
Na mabingwa wa kuhongaWanaume tunapata pesa kwa tabu Sana
Unapenda kudanganywaLabda kujenga chumba kimoja na vibati vilivyochakaa! Huwezi kufanya kazi kwa muindi/mwarabu ukajenga nyumba ya maana. Bahkresa ndo hao hao! Wafanyakazi wao kwanza wanawafanya misukule ndo wanawaajili
Esteem wako vizuri.Pole sana ndugu yangu! Zingatia wasijekuwa tayari wameishakukabidhi kwa mashetwaini yao yatakufuata hata huko! Hao jamaa sio poa kabisa😔😄😄
Duh! Chakula juu yao?Nakumbuka mwaka 2009 nimepigika vibayaa mnoo.nikaenda tazara pale kiwanda cha mabetri Panasonic.
Kibarua analipwa 2,400 kwa siku na bado kazi nikakosa[emoji16][emoji16]
Wapii.wewe mwenyeweDuh! Chakula juu yao?
Duh! Watu munayaona 😁😁Wapii.wewe mwenyewe
hali ni mbaya ndugu yangu huko viwandani hakuna cha engineer wala technician wala veta wote mnafanya kazi hizo hizo chini ya boss wa kihindi,Electrical technician sio Engineer , Engineer gani wa diploma
Akuna cha Bora hapo yaani buku nne Bora uzulule au ukune kichwa Wenda utaona fursaSi bora hiyo kuliko kukaa idle ukihesabu nyota angani
Sio umaskini ni akiliMungu atunusuru waafrika, tabu watu wanazopotia zinaogofya sana. Nenda Kiboko(MMI Steel), SITA Steel, Lodhia nk utaona unyonyaji wa mtu muhindi. 3,500 p/d na watu asubuhi wamejaa getini kutafuta vibarua. Wahindi ni rubbish [emoji1005] kabisa. Ni wakwepaji wakubwa wa kulipa kodi, watoaji wakubwa wa rushwa, wanyonyaji wakubwa wa maslahi ya wafanyakazi na vibarua. Nenda tu hapo SSB wanapotengeneza Pepsi, upumbavu mtupu, ila ni umasikini wetu tu.
Inasikitisha sana,na unajiuliza mtu anaweza vipi kuendesha familia kwa ujira kama huo.Kwa kweli kuna wenzetu mnateseka sana, sasa ujira wa elfu 4 per day mbona ni mdogo sana jamani? Hawa matajiri hawana huruma kabisa. Bora hata ingekua 10k kwa siku.
Ipo karibu na uwanja wa ndege mwalimu jk Airport mkuuKipawa ipo wapi mkuu