kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Kwa hiyo kazi bora hata kuokota chupa za maji mtaani ukauze, naona zinalipa kuliko hiyo kazi aisee.ni kweli mzee lakini pale hata buku hauna kwa mfuko, inabidi ujizime data tu japo inauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kazi bora hata kuokota chupa za maji mtaani ukauze, naona zinalipa kuliko hiyo kazi aisee.ni kweli mzee lakini pale hata buku hauna kwa mfuko, inabidi ujizime data tu japo inauma
Umaskini mbaya sana.Wanalipa elfu nne hadi tatu then Kazi ni kubeba viroba vya ngano kilo 50 na 25 Kuanzia asubuhi Hadi jioni na pia night shift hipo it about fucking job huyo Bakhressa Ni mpuuzi mmoja. Including Mo dewij and so called matajiri uchwara
Mimi hali hiyo ninaipitia Kwa Sasa Lakini siwezi kumruhusu kiumbe Hai mwenzagu akafanye kazi kufa na kupona kama ileee. Bora afanye singeli tu.ni kweli mzee lakini pale hata buku hauna kwa mfuko, inabidi ujizime data tu japo inauma
Sanaa. ALIIBA MAGUNIA YA PESA TU
Hiyo 10k ipo ila sio kwa kazi kama hizoKwa kweli kuna wenzetu mnateseka sana,sasa ujira wa elfu 4 per day mbona ni mdogo sana jamani?hawa matajiri hawana huruma kabisa.bora hata ingekua 10k kwa siku
Hizi ajira za hawa kanjibhai ni changamoto sana, ni zaidi ya manamba aisee.Hiyo 10k ipo ila sio kwa kazi kama hizo
Nadhani ukienda kwenye viwanda vya steel unaweza ukapata hadi 15k
Ila changamoto yake ni kwamba unaambiwa kila mfanyakazi unayemkuta pale ujue hiyo ni siku yake ya kwanza hapo kiwandani.
Ukishachukua malipo ya 15 ukitoka hapo utachagua mwenyewe ukapatiwe huduma kati ya Amana au Muhimbili
Au usizi home ujiuguze mwenyewe
😀 Jamaa ananambia uji wa chuma huu hapa , wewe unapiga mzigo hapa (Metro Steel cha Jeti Lumo )Hiyo 10k ipo ila sio kwa kazi kama hizo
Nadhani ukienda kwenye viwanda vya steel unaweza ukapata hadi 15k
Ila changamoto yake ni kwamba unaambiwa kila mfanyakazi unayemkuta pale ujue hiyo ni siku yake ya kwanza hapo kiwandani.
Ukishachukua malipo ya 15k ukitoka hapo utachagua mwenyewe ukapatiwe huduma kati ya Amana au Muhimbili
Au usizi home ujiuguze mwenyewe
Kivipi mkuu??Hiyo 10k ipo ila sio kwa kazi kama hizo
Nadhani ukienda kwenye viwanda vya steel unaweza ukapata hadi 15k
Ila changamoto yake ni kwamba unaambiwa kila mfanyakazi unayemkuta pale ujue hiyo ni siku yake ya kwanza hapo kiwandani.
Ukishachukua malipo ya 15k ukitoka hapo utachagua mwenyewe ukapatiwe huduma kati ya Amana au Muhimbili
Au usizi home ujiuguze mwenyewe
Basi wakamvisha visha magloves yale ye bila kujua yale magloves yana husiana vipi na kazi anayoenda kufanya😀 jamaa ananambia uji wa chuma huu hapa , wewe unapiga mzigo hapa (Metro Steel cha Jeti Lumo )
alienda siku moja tu
Kupakua nondo za moto kutoka kwenye kinu kuzipeleka kwenye pool sio mchezoKivipi mkuu??
Ujinga ni kwamba hata mtu mwenye preffesionalism bado hapewi thamani yakeHizi ajira za hawa kanjibhai ni changamoto sana, ni zaidi ya manamba aisee.
Basi wakamvisha visha magloves yale ye bila kujua yale magloves yana husiana vipi na kazi anayoenda kufanya
Walivyo makatiri kwanza mwanangu wakampa kitengo cha jikoni
Anapita hadi kwenye kinu anaopoa nondo ikiwa imeiva yani imekuwa yamoto hadi imekuwa nyekundu
Halafu anaipeleka kwenye pool la maji kuipoza
Unaambiwa hayo maji ya kupozea hizo nondo yakikurukia balaa lake sio dogo
Mchizi akaomba ruhusa aende chooni...
Yap alifanya maamuzi sahih
Aisee Mr, kama hamna tatizo ni text humu 0629761478 maana PM inakataaAisee kuna tatizo kidogo naona inakataa kuanziasha conversation na wewe
Wapi hiyo mkuuKuna sehemu kazi ni 6700 kwa siku naijua wanahitaji watu mara kwa mara
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Lakini pia waweza kwenda pale millennium business Park shekilango, Kuna kiwanda Cha biskuti wanalipa 5k kuanzia saa 12 Hadi 8, kikubwa uwahi tuWapi hiyo mkuu