Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni

Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni

Pana mtoto wa kichaga asubui anawahi sokoni anajumuia karoti, hoho, vitunguu, njegere, nk
Mchana ana paki mixing package yaani anaweka karoti, hoho, nk anafunga kwenye vifuko kisha anatia kwenye begi anapita mtaa kwa mtaa kuanzia saa 10 jioni. Ndani ya masaa manne mzigo wote ushaisha kwa siku hakosi elf 60 faida.
 
Bora kufanya home derivary yaani kuwasogezea watu mahitaji yao home kwa kuweka aibu pembeni na kufungia vyeti kabatini,kuliko kwenda kuungua na uji wa chuma kiwandani au kupinda mgongo kwa kusomba sementi kwa ujira wa nauli na chakula huku ukiuza sura.
Hawa jamaa utumia Sana udhaifu wa cheap labour na mamlaka zilizolala.
 
Bora kufanya home derivary yaani kuwasogezea watu mahitaji yao home kwa kuweka aibu pembeni na kufungia vyeti kabatini,kuliko kwenda kuungua na uji wa chuma kiwandani au kupinda mgongo kwa kusomba sementi kwa ujira wa nauli na chakula huku ukiuza sura.
Hawa jamaa utumia Sana udhaifu wa cheap labour na mamlaka zilizolala.
Bora kazi ya kuuza usingizi kuliko kazi za jehanamu(viwandani)
 
Kuna mwalimu wetu mmoja wa literature alikuwa anatuambia principle ya kuajili ili uendelee ni hii

1..Make them work hard ( wafanye kazi kwa nguvu)
2.. Pay them little ( Walipe kidogo/ujira mdogo)
3.. If they complain say nothing ( Kama watalalamika usijibu chochote/ kaa kimya)
Kwa nchi za kinyonyaji na sio kwa nchi ambazo ni civilized wao hio principal haina nguvu.
 
Kwa nchi za kinyonyaji na sio kwa nchi ambazo ni civilized wao hio principal haina nguvu.
Nchi nyingi za kiafrika kama Tanzania ndio principal hii. Unyonyaji mtu unatumia nguvu kubwa kuproduce halafu malipo ni kidogo.
Kwanza hata chansi ya kulalamika haipo, nani atajaribu kulalamika ili apoteze kazi ni huzuni sana.
 
Na sasa hivi wahitimu wasaka ajira unyonywa Sana kwa kisingizio cha kujitolea hizi kwa Kazi za professional kwa matumaini ya kuajiriwa ajira zikitoka nauli chakula juu YAKO ukifika ofisini unaachiwa Kazi zote hadi ukome, utajitolea miezi hadi ukate tamaa mwenyewe ujiondokee, wanachukua wengine hivyo hivyo yeye anazalisha wewe utambuliki huna pa kulalamika
 
Mungu atunusuru waafrika, tabu watu wanazopotia zinaogofya sana. Nenda Kiboko(MMI Steel), SITA Steel, Lodhia nk utaona unyonyaji wa mtu muhindi. 3,500 p/d na watu asubuhi wamejaa getini kutafuta vibarua. Wahindi ni rubbish 🗑 kabisa. Ni wakwepaji wakubwa wa kulipa kodi, watoaji wakubwa wa rushwa, wanyonyaji wakubwa wa maslahi ya wafanyakazi na vibarua. Nenda tu hapo SSB wanapotengeneza Pepsi, upumbavu mtupu, ila ni umasikini wetu tu.
 
Bora kufanya home derivary yaani kuwasogezea watu mahitaji yao home kwa kuweka aibu pembeni na kufungia vyeti kabatini,kuliko kwenda kuungua na uji wa chuma kiwandani au kupinda mgongo kwa kusomba sementi kwa ujira wa nauli na chakula huku ukiuza sura.
Hawa jamaa utumia Sana udhaifu wa cheap labour na mamlaka zilizolala.
Ndio maana dada zako wameamua kudanga kwa bei nafuu, wanafanya delivery chumba mpaka chumba right?
 
Tunyamaze yaliyopo viwandani kwa hawa wanaojiita matajiri na kujifanya wanapenda dini na kutoa misaada bora kubaki kimya.

Maana uwezi kulipa ujira mzuri kila mtu.

viwanda au kampuni yoyote kubwa idadi wanayo lipwa vizuri iwezi kufika hata 100.
Tena Azam ndio kabisa
Kazi za viwandNi bata ulaya huwa malipo kidogo
Tz wastan kwa mwezi 90 mpaka 120
Hakuna kiwanda italipa 500k kwa mwezi walai labda uwe kiongozo na wanakuwa wachache sababu kuu


Wanaajili watu wengi
 
Mkuu wahindi hawajali Hao, mimi kipindi nimemaliza kidata cha nne nikiwa Tanga mjini pale nikasema acha nitafute kazi angalau niingize chochote.

Nikaenda kiwanda cha CEMENT Rhino kule Kange kwa kazi nilizokutana nazo hiyo chokaa alafu ndio ilikuwa unaisogeza na chepe Kuna mzee akaniambia mdogo wangu huku utaumwa TB Bure tu.

Alafu unapitishwa sehem ambazo hata hujui Kuna Nini chini hatarishi sana. nilienda kama siku Tatu ikawa ndio kwa heri hivyo.
 
Back
Top Bottom