Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Acha uwongo wewe, makadirio ya sensa 2012 ilikuwa ni jumla ya wa-TZ M 60, na sensa 2022 ni M 61, sasa huoni karibuni kwa zaidi ya miaka 10 wamezaliwa wa-TZ M 1 tu?Mkiwa na raia wengi sana ndan ya nchi at the end of the day mnageuka kuwa cheap labours
Just imagine ndan ya miaka 10 tu wamezaliwa na kuongezeka raia zaidi 16ml
Control population you control the economy
Au unachangamsha genge tu?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app