Pre GE2025 Vibe la Godbless Lema baada ya kumalizika kuhesabiwa kura Uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Vibe la Godbless Lema baada ya kumalizika kuhesabiwa kura Uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Matokeo bado hayajatangazwa ila Godbless Lema anashangilia na kucheza pamoja na wajumbe mbalimbali.
Soma: Lema afunguka baada ushindi wa Tundu Lissu Uchaguzi CHADEMA, Mbowe ni kaka yangu ila Lissu ni bora zaidi wakati huu
Boniface Jacob maarufu Boni Yai, ambaye alikuwa wakala wa mgombea Freeman Mbowe katika kinyang’anyiro cha uenyekiti Chadema wakati akitoka katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam leo Jumatano, Januari 22, 2025 kabla ya matokeo rasmi kutangazwa.
Snapinst.app_474493487_1119330333222723_5004546166771880873_n_1080.jpg
Soma, Pia:
 
Back
Top Bottom