milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Kunani tena huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunani tena huko?
HUREEEEEEEWakuu
Matokeo bado hayajatangazwa ila Godbless Lema anashangilia na kucheza pamoja na wajumbe mbalimbali
View attachment 3209659
........hii ni maajabu!Mbowe amekubali kushindwa, Lissu ndiye mwenyekiti mpya.
Wapuuzi na wapumbavu ni nyie na hao vibaraka wenu.Toa upuuzi wako hapa.
Kura zipo mitandaoni na kwa wajumbe, mmeona Lissu kashindaWakuu
Matokeo bado hayajatangazwa ila Godbless Lema anashangilia na kucheza pamoja na wajumbe mbalimbali
View attachment 3209659
Kimsingi Mbowe ana chakujivunia kushiriki na kuisimamia demokrasia bila mawenge.Bravo Mbowe kwa kazi kubwa kuifikisha hapo CDM na hii ni pamoja na Lissu.Kama Wameshinda Je hapo ndio Mwamba Mbowe amedhalilika kama mlivyokuwa mnasema?
Mkuu vip tena mbona umekuwa mkali? Lissu kashinda mitandaoni tuWapuuzi na wapumbavu ni nyie na hao vibaraka wenu.
Mlifika mbali na kusema watu wamepewa hela na kwamba Serikali itaingulia uchaguzi,yaani Serikali iingilie uchaguzi wa kachama la watu wasiojielewa kisa Kibaraka Lisu?
Huyo Lisu si alikuwa Rais wa TLS,amekuwa Makamu wenu Kuna jipya alifanya kuitisha Serikali? Acheni kuwa wapumbavu nyie nyumbu .
Samia gani au unazungumzia samia bushiri anaye linajisi na kulilawiti taifa kabisaKwa hiyo ilihitaji kumtukana Rais Samia Ili nyie mushinde pamoja na kibaraka wenu Lisu?
Nawashangaa sana Wafuasi wa kibaraka Lisu na Lema kwamba walihitaji kumchafua Mbowe na Rais Ili wao washinde.Kimsingi Mbowe ana chakujivunia kushiriki na kuisimamia demokrasia bila mawenge.Bravo Mbowe kwa kazi kubwa kuifikisha hapo CDM na hii ni pamoja na Lissu.
Ulitaka kiwe cha magaidi?Chama cha wakristu
Aiseee siamini mbona kama naota hiviAlhamdulillah! Mungu ni mwema sana.
Hatimaye tumeshinda!
Sio mkali Bali nilitarajia atashinda hata hivyo Wana ccm kutoa maoni Yao ya nani wanapenda ashinde Wala sio kuingilia uchaguzi ni sawa tuu na mtu kusema napenda Kamala au Trump ashinde.Mkuu vip tena mbona umekuwa mkali? Lissu kashinda mitandaoni tu
Upande upi madam aliyeshinda ?Alhamdulillah! Mungu ni mwema sana.
Hatimaye tumeshinda!
Mbowe alijaa na kibri lkn dalili zilionesha Toka mwanzo kwamba huu sio wakati wake, kitendo Cha kukataliwa mpaka na wachagga wenzie ilitosha kumfumbua macho. Wachaga ukiona mpaka waliamua kumuunga mkono lissu( mtu Baki) basi mbowe alichokwa kweli kweliWakuu
Matokeo bado hayajatangazwa ila Godbless Lema anashangilia na kucheza pamoja na wajumbe mbalimbali
View attachment 3209659
Sahihi kabisa maoni ni haki ya mtu yeyote, ila wanachadema wameamua kwenda na Lissu kwa ajili ya siasa za Nginja Nginja busara kwa mbali sanaSio mkali Bali nilitarajia atashinda hata hivyo Wana ccm kutoa maoni Yao ya nani wanapenda ashinde Wala sio kuingilia uchaguzi ni sawa tuu na mtu kusema napenda Kamala au Trump ashinde.
Kambi ya kibaraka Lisu imetumia matusi na kuchagua sana viongozi wenzake na Rais ,Samia asingekuwa muungwana huyo bwana alitakiwa awe anashinda kwenye kesi .