Pre GE2025 Vibe la Godbless Lema baada ya kumalizika kuhesabiwa kura Uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Vibe la Godbless Lema baada ya kumalizika kuhesabiwa kura Uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio kinyonge kwani Mimi ni mwanachadema? Mimi sio mtu wa siasa ila Iko wazi watu dizaini ya kina Lisu, Magufuli Huwa siwakubali
Najua ulivyokuwa unapambana lissu asipate. Kumbe wananchi wana mawazo yao tofauti. Wanapenda aina ya akina Lissu ambao huwa hawaumi umi maneno.
 
Muungwana kachakachua Katiba ya Chama kuepuka upinzani....!!
Utaratibu wa CCM hauendani na huko kwenu,kwanza mlisema hana Nguvu iweje achakachue? Wacha uzushi wa kijinga.

Mbona Kuna wale waliopigisha utaratibu wa fomu Moja , wenyewe Kwa nini hukuwasema?
 
Sikuwa na shaka kabisa na Lema kusimamia kura za Lissu

I knew the guy is real
 
Ndio kusema mwamba kadondoka mbona kama sijaelewa!!!! Mwamba mwamba kweli anadondoka!!!!
 
Back
Top Bottom