kipanta the boss
Member
- Dec 15, 2013
- 57
- 85
HONGERA SANA TUNDULISU, MMESABABISHA TUKESHE!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaratibu wa CCM hauendani na huko kwenu,kwanza mlisema hana Nguvu iweje achakachue? Wacha uzushi wa kijinga.
Mbona Kuna wale waliopigisha utaratibu wa fomu Moja , wenyewe Kwa nini hukuwasema?
MBOWE ANGELETA NINI?Amekuwa Rais wa TLS
Amekuwa Makamu Mwenyekiti
Amekuwa mgombea Urais
Kuna jipya ataleta?
MaridhianoMBOWE ANGELETA NINI?
Mugabe wa Chadema kang'okaWakuu
Matokeo bado hayajatangazwa ila Godbless Lema anashangilia na kucheza pamoja na wajumbe mbalimbali.
Soma, Pia: Freeman Mbowe akubali kushindwa, ampongeza Lissu na Heche kwa ushindi wao
View attachment 3209659
Acha porojo. Hakuna atakaye mtukana mama. Sema tu hofu imewaingia kwa Lissu kuwa mwenyekiti Chadema.Kwa hiyo ilihitaji kumtukana Rais Samia Ili nyie mushinde pamoja na kibaraka wenu Lisu?
Kwa hiyo ilihitaji kumtukana Rais Samia Ili nyie mushinde pamoja na kibaraka wenu Lisu?
Lisu hamjasema mara kadhaa kwamba Mama Abdul ametoa hela kuingilia uchaguzi na sijui alitaka kuhongwa?Wapi wamemtukana Rais?
Acha hasira...Wapuuzi na wapumbavu ni nyie na hao vibaraka wenu.
Mlifika mbali na kusema watu wamepewa hela na kwamba Serikali itaingulia uchaguzi,yaani Serikali iingilie uchaguzi wa kachama la watu wasiojielewa kisa Kibaraka Lisu?
Huyo Lisu si alikuwa Rais wa TLS,amekuwa Makamu wenu Kuna jipya alifanya kuitisha Serikali? Acheni kuwa wapumbavu nyie nyumbu .
Una hasira sana we mama.Lisu hamjasema mara kadhaa kwamba Mama Abdul ametoa hela kuingilia uchaguzi na sijui alitaka kuhongwa?
Hasira gani?Acha hasira...
Hasira za nini? Kama zipo basi ni kumchafua Rais Ili yeye ashinde,Kwa sababu ndio sera pekee ameiyumia.huko.kwenu.Una hasira sana we mama.
Hapo ulipoandika tusi liko wapi?Lisu hamjasema mara kadhaa kwamba Mama Abdul ametoa hela kuingilia uchaguzi na sijui alitaka kuhongwa?
Amrukane mara ngapi? Wewe hujafuatilia malalamiko ya Mbowe? Hujafuatilia Kampeni za Lisu? Au wewe ni mgeni na huyo kibaraka?Acha porojo. Hakuna atakaye mtukana mama. Sema tu hofu imewaingia kwa Lissu kuwa mwenyekiti Chadema.
Ni sahihi ila umeisha na kumalizika katika ukomavu wa hali ya juu.Moja uchaguzi mgumu san chama umepitia
Hiyo sio kumdhalilisha Rais? Akiwekwa kilomoloni kama Slaa ataweka ushahidi?Hapo ulipoandika tusi liko wapi?
Achana naye huyo FISIEM. Kachanganyikiwa kwani wasiompenda kaja.Hapo ulipoandika tusi liko wapi?
Mji gani huo Mkuu?. Miji ipo mingi ujue😄Mvua kali imeanza kunyesha mjini,, Kuna kitu
Hayatuhusu. Kamtishie mama yako huu upuuzi. Kwani Tanzania akina Mama Abdul wapo wangapi?Hiyo sio kumdhalilisha Rais? Akiwekwa kilomoloni kama Slaa ataweka ushahidi?
Mnaweza Anza kesi Hadi baada ya Uchaguzi,nayo ni mbinu usijitoe ufahamu