Pre GE2025 Vibe la Godbless Lema baada ya kumalizika kuhesabiwa kura Uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Vibe la Godbless Lema baada ya kumalizika kuhesabiwa kura Uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu

Matokeo bado hayajatangazwa ila Godbless Lema anashangilia na kucheza pamoja na wajumbe mbalimbali
View attachment 3209659
Screenshot_20250122-083022~2.png
 
Naombeni ndugu Wenje akae karibu na sanduku la huduma ya kwanza....atamuambia nini Abduli🐼
 
"Wabangaizaji wampiga mtama Bwanyenye!"
 
Wapuuzi na wapumbavu ni nyie na hao vibaraka wenu.

Mlifika mbali na kusema watu wamepewa hela na kwamba Serikali itaingulia uchaguzi,yaani Serikali iingilie uchaguzi wa kachama la watu wasiojielewa kisa Kibaraka Lisu?

Huyo Lisu si alikuwa Rais wa TLS,amekuwa Makamu wenu Kuna jipya alifanya kuitisha Serikali? Acheni kuwa wapumbavu nyie nyumbu .
Kwenye huu uchaguzi wa chadema-taifa , wana ccm akina tlaatlaa, lucas mwashambwa na wale walioungamkono bango la mbowe litawale kwenye mkutano mkuu maalumu wa ccm huko Dodoma hivi karibuni ndo wameangukia pua.
 
Hongera Mbowe Kwa kuifikisha Chadema hapo ilipofika. Sasa kaongoze mijadala ndani ya kamati kuu maana utakuwemo hadi mwisho wa uhai wako.
 
Wapuuzi na wapumbavu ni nyie na hao vibaraka wenu.

Mlifika mbali na kusema watu wamepewa hela na kwamba Serikali itaingulia uchaguzi,yaani Serikali iingilie uchaguzi wa kachama la watu wasiojielewa kisa Kibaraka Lisu?

Huyo Lisu si alikuwa Rais wa TLS,amekuwa Makamu wenu Kuna jipya alifanya kuitisha Serikali? Acheni kuwa wapumbavu nyie nyumbu .
Kijana taratibu,,
 
Kwenye huu uchaguzi wana ccm akina tlaatlaa, lucas mwashambwa na wale walioungamkono bango la mbowe litawale kwenye mkutano mkuu maalumu wa ccm huko dodoma hivi karibuni ndo wameangukia pua.
Hawajaangukia pua yeyote maana sio Wana Chadema ni Wana CCM,wao walitoka Mbowe ashinde Kwa sababu ana busara na Yuko approachable.
 
Salam iwafikie abdul na mama yake popote walipo
 
Wapuuzi na wapumbavu ni nyie na hao vibaraka wenu.

Mlifika mbali na kusema watu wamepewa hela na kwamba Serikali itaingulia uchaguzi,yaani Serikali iingilie uchaguzi wa kachama la watu wasiojielewa kisa Kibaraka Lisu?

Huyo Lisu si alikuwa Rais wa TLS,amekuwa Makamu wenu Kuna jipya alifanya kuitisha Serikali? Acheni kuwa wapumbavu nyie nyumbu .
Ahahahah..poleeeee.
SUbiri kwanza,kaa vizur tuchomoe , ujambe kidogo kisha tuendelee kukuweka mambo shoga wee
 
Nawashangaa sana Wafuasi wa kibaraka Lisu na Lema kwamba walihitaji kumchafua Mbowe na Rais Ili wao washinde.

Kimsingi Samia ni muungwana ilitakiwa huyo mtu wenu awe anashinda kwenye kesi na Serikali Kwa sababu za mdomo mchafu.

Mbowe ametokea familia yenye hela uchaguzi sio swala la matter of life kwake ndio maana ameweka uwazi na transparency Toka Mwanzo Hadi Sasa.

Imeonesha maneno ya kina Lisu yalikuwa ni upuuzi na nonsense
Jamba babu jamba harakaaa, tushachomoa sekunde chache tusije rudishia mti nyama uakaendele kuugulia maumivu chawa we
 
Back
Top Bottom