Pre GE2025 Vibe la Godbless Lema baada ya kumalizika kuhesabiwa kura Uchaguzi wa CHADEMA

Pre GE2025 Vibe la Godbless Lema baada ya kumalizika kuhesabiwa kura Uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nadhani CCM wamejifunza kwa usahihi kabisa maana ya neno DEMOKRASIA ilivyo na inavyo fanya kazi
 
Hapo unakuwa ni uonevu. Nadhani wewe kama binadamu uliyeumbwa na utashi wa kujua baya na zuri ndiyo unajitoa utu wako kwa kujotoa akili.

Ukweli kusemwa sio kumdhalilisha Rais. Na kama ni uongo mbona hawajamkata? Nafhani hata Wenje alikili Abduli alifanya kama Lissu alivosema.

Nadhani huyo Abduli alimchukulia poa Lissu. Na hapo ndipo alipojikanyaga.
Hiyo sio kumdhalilisha Rais? Akiwekwa kilomoloni kama Slaa ataweka ushahidi?

Mnaweza Anza kesi Hadi baada ya Uchaguzi,nayo ni mbinu usijitoe ufahamu
 
Hapo unakuwa ni uonevu. Nadhani wewe kama binadamu uliyeumbwa na utashi wa kujua baya na zuri ndiyo unajitoa utu wako kwa kujotoa akili.

Ukweli kusemwa sio kumdhalilisha Rais. Na kama ni uongo mbona hawajamkata? Nafhani hata Wenje alikili Abduli alifanya kama Lissu alivosema.

Nadhani huyo Abduli alimchukulia poa Lissu. Na hapo ndipo alipojikanyaga.
Kwa hiyo ana ushahidi wa nyaraka kuthibitisha Hilo? Unajua hizo ni tuhuma za kumchafua Rais na taasisi?

Ndio maana nimekwambia Samia ni muingwana vinginevyo hiyo mtu wenu angekuwa Ubelgiji au ana kesi
 
Mvua kali imeanza kunyesha mjini,, Kuna kitu
Mvua ni baraka njema kwa mshindi. HONGERA SANA LISU.Huu ni Uchaguzi huru kweli kweli na hii ndio demokrasia ya kweli kabisa. Vyama vingine igeni mfano huu kikiwemo chama cha mboga mboga ambao wanapeana vyeo kwa utashi wa viongozi na sio wananchi.
 
Wapuuzi na wapumbavu ni nyie na hao vibaraka wenu.

Mlifika mbali na kusema watu wamepewa hela na kwamba Serikali itaingulia uchaguzi,yaani Serikali iingilie uchaguzi wa kachama la watu wasiojielewa kisa Kibaraka Lisu?

Huyo Lisu si alikuwa Rais wa TLS,amekuwa Makamu wenu Kuna jipya alifanya kuitisha Serikali? Acheni kuwa wapumbavu nyie nyumbu .
Mpumbavu aliyekuzaa period
 
Uchaguzi mkuu kwa hali na Mali lazima nimpigie kura Lissu aisee I do trust this warrior so badly
 
Wapuuzi na wapumbavu ni nyie na hao vibaraka wenu.

Mlifika mbali na kusema watu wamepewa hela na kwamba Serikali itaingulia uchaguzi,yaani Serikali iingilie uchaguzi wa kachama la watu wasiojielewa kisa Kibaraka Lisu?

Huyo Lisu si alikuwa Rais wa TLS,amekuwa Makamu wenu Kuna jipya alifanya kuitisha Serikali? Acheni kuwa wapumbavu nyie nyumbu .
Juniour Advocates wanajua Mh. Lisu aliwafanyia nini wakati wa uongozi wake so Mkuu kwenye ubishani wenu usiiweke TLS hapo.
 
Back
Top Bottom