Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Katukanwa wàpi huyu rais wa kike wa kwanza????Kwa hiyo ilihitaji kumtukana Rais Samia Ili nyie mushinde pamoja na kibaraka wenu Lisu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katukanwa wàpi huyu rais wa kike wa kwanza????Kwa hiyo ilihitaji kumtukana Rais Samia Ili nyie mushinde pamoja na kibaraka wenu Lisu?
Yaonekana ndugu umeumia sn.. pole..Nawashangaa sana Wafuasi wa kibaraka Lisu na Lema kwamba walihitaji kumchafua Mbowe na Rais Ili wao washinde.
Kimsingi Samia ni muungwana ilitakiwa huyo mtu wenu awe anashinda kwenye kesi na Serikali Kwa sababu za mdomo mchafu.
Mbowe ametokea familia yenye hela uchaguzi sio swala la matter of life kwake ndio maana ameweka uwazi na transparency Toka Mwanzo Hadi Sasa.
Imeonesha maneno ya kina Lisu yalikuwa ni upuuzi na nonsense