Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu fadhira hiyo utatakiwa uilipe someday, kuwa tayari.Huwa wanaishia kunifurahia tu, huyu wa leo kaniletea na mijizawadi[emoji120]
Unapendwa mkuu nao pia n watuKumbe ngekewa?
SASA nimejua ni Nani anayewapa vichaa mimbaHabari wakuu,
Poleni kwa majukumu ya hapa na pale.
Kuna jambo nilianza kuliona tangu mwaka 2010 na limekuwa likiendelea siku hadi siku, miaka hadi miaka. Nimetokea kupendwa sana na watu wenye magonjwa ya akili, kwa lugha iliyozoeleka "Vichaa"
Aisee hii hali imekuwa ikitokea mara kwa mara hata nihamapo mkoa mmoja na kwenda kuishi mkoa mwingine hii hali bado naendelea kuiona.
Mfano nikipita eneo nikakutana na kichaa ambaye watu wengine wakipita wanakula mboko, mimi napita bila wasiwasi kabisa, hanigusi wala kunisumbua kwa lolote. Vilevile kuna mmoja pia huwa anakuja eneo langu la kazi anakaa pale muda mrefu (Muda huo haongei chochote) na asiponikuta hawezi kukaa na aliowakuta. Anajiondokea zake.
Mpaka muda huu ninaoandika huu ujumbe kakaa hapa. Aisee kaniletea hadi maembe, sijui kayaokota wapi. Yaani huwa najiuliza sipati majibu, ni kwamba wanafurahia kampani yangu au nini?
Wataka kusemaje ndugu