Vichaa wanafurahia kampani yangu

Vichaa wanafurahia kampani yangu

Vichaa wengi wamesababishiwa hali hiyo na mapepo/mashetani/majini. Nakushauri uende ktk Kanisa linaloamini ktk wokovu (Kanisa la Kipentekoste) utaombewa. Nahisi unaweza kuwa na mapepo nawe pia.
 
Vichaa wengi wamesababishiwa hali hiyo na mapepo/mashetani/majini. Nakushauri uende ktk Kanisa linaloamini ktk wokovu (Kanisa la Kipentekoste) utaombewa. Nahisi unaweza kuwa na mapepo nawe pia.
Sio kila kichaa kimesababishwa na hivyo ulivyovitaja
 
Habari wakuu,

Poleni kwa majukumu ya hapa na pale.

Kuna jambo nilianza kuliona tangu mwaka 2010 na limekuwa likiendelea siku hadi siku, miaka hadi miaka. Nimetokea kupendwa sana na watu wenye magonjwa ya akili, kwa lugha iliyozoeleka "Vichaa"

Aisee hii hali imekuwa ikitokea mara kwa mara hata nihamapo mkoa mmoja na kwenda kuishi mkoa mwingine hii hali bado naendelea kuiona.

Mfano nikipita eneo nikakutana na kichaa ambaye watu wengine wakipita wanakula mboko, mimi napita bila wasiwasi kabisa, hanigusi wala kunisumbua kwa lolote. Vilevile kuna mmoja pia huwa anakuja eneo langu la kazi anakaa pale muda mrefu (Muda huo haongei chochote) na asiponikuta hawezi kukaa na aliowakuta. Anajiondokea zake.

Mpaka muda huu ninaoandika huu ujumbe kakaa hapa. Aisee kaniletea hadi maembe, sijui kayaokota wapi. Yaani huwa najiuliza sipati majibu, ni kwamba wanafurahia kampani yangu au nini?
Kama usemayo ni kweli hiyo ni hali ya kawaida kabisa.. Wanasema una ngekewa na watu waliofyatuka.. Wakati wewe unapendwa wenzako wanachukiwa... Na ukipendwa na vichaa utapendwa na kila mtu
 
Kama usemayo ni kweli hiyo ni hali ya kawaida kabisa.. Wanasema una ngekewa na watu waliofyatuka.. Wakati wewe unapendwa wenzako wanachukiwa... Na ukipendwa na vichaa utapendwa na kila mtu
Kweli mkuu, inanitokea sana.
 
Kama usemayo ni kweli hiyo ni hali ya kawaida kabisa.. Wanasema una ngekewa na watu waliofyatuka.. Wakati wewe unapendwa wenzako wanachukiwa... Na ukipendwa na vichaa utapendwa na kila mtu
Mshana embu msaidie huyu dada kimawazo...
Akiwa kwake Alivyotoka kuoga alivyofungua mlango akakutana na umbo kama la mtu ila umbo lake limeishia kiunoni tu sura haieleweki akawa amezimia...

Siku nyingine alikua amelala akaota mfano w sura ya mtu anaongea haraka huku anamnong'oneza sikioni aliposhtuka sikio kama likawa halisikii vizur ila baada ya muda akawa anasikia fresh

Itakua ni nini
 
Mshana embu msaidie huyu dada kimawazo...
Akiwa kwake Alivyotoka kuoga alivyofungua mlango akakutana na umbo kama la mtu ila umbo lake limeishia kiunoni tu sura haieleweki akawa amezimia...

Siku nyingine alikua amelala akaota mfano w sura ya mtu anaongea haraka huku anamnong'oneza sikioni aliposhtuka sikio kama likawa halisikii vizur ila baada ya muda akawa anasikia fresh

Itakua ni nini
Mmh nahitaji kujua mengi kabla sijasema kitu
 
Hii Mara nyingi hutokea kwa watu wenye huruma...na kuonyesha kujali...
Vichaa nao wana hisia...na some time wanajua kusoma mtu.....waoneshe furaha mda wote wanakosa sana faraja kwenye hizi jamii zetu!
 
Hii Mara nyingi hutokea kwa watu wenye huruma...na kuonyesha kujali...
Vichaa nao wana hisia...na some time wanajua kusoma mtu.....waoneshe furaha mda wote wanakosa sana faraja kwenye hizi jamii zetu!
[emoji817] [emoji817]
 
Kuna sehem nakula misonyooo njoo uchungulie
Nilipotea dear, si wajua tena weekend hii nilikuwa napozwa pozwa kutokana na uchovu wa kazi.
Ndo nimeachiwa muda huu.
 
Nilipotea dear, si wajua tena weekend hii nilikuwa napozwa pozwa kutokana na uchovu wa kazi.
Ndo nimeachiwa muda huu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hongeraaa
 
Na ww jiandae kuwa hivyo.dalili ya mvua ni manyunyu
 
Back
Top Bottom