Vichaa wanafurahia kampani yangu

Vichaa wanafurahia kampani yangu

476141.jpg
Lipicha lako ulotuma limeungua
 
Habari wakuu,

Poleni kwa majukumu ya hapa na pale.

Kuna jambo nilianza kuliona tangu mwaka 2010 na limekuwa likiendelea siku hadi siku, miaka hadi miaka. Nimetokea kupendwa sana na watu wenye magonjwa ya akili, kwa lugha iliyozoeleka "Vichaa"

Aisee hii hali imekuwa ikitokea mara kwa mara hata nihamapo mkoa mmoja na kwenda kuishi mkoa mwingine hii hali bado naendelea kuiona.

Mfano nikipita eneo nikakutana na kichaa ambaye watu wengine wakipita wanakula mboko, mimi napita bila wasiwasi kabisa, hanigusi wala kunisumbua kwa lolote. Vilevile kuna mmoja pia huwa anakuja eneo langu la kazi anakaa pale muda mrefu (Muda huo haongei chochote) na asiponikuta hawezi kukaa na aliowakuta. Anajiondokea zake.

Mpaka muda huu ninaoandika huu ujumbe kakaa hapa. Aisee kaniletea hadi maembe, sijui kayaokota wapi. Yaani huwa najiuliza sipati majibu, ni kwamba wanafurahia kampani yangu au nini?

Hawana matatizo hao watu, waonyeshe upendo tu. Wape wanachokuomba, Mungu atakubariki. Kuna wakati fulani niliwahi kuw karibu na Chizi mmoja hivi, akawa matatizo yote ya mtoto wake anakuja kuniambia mimi. Alikuwa ananiita Baba. Yet nilikuwa bado na amani sana kumsaidia.

Ila alishafariki Long time.

RIP ''Z''
 
Mkuu hata wewe ni kichaa pia. Huenda pia hata marafiki zako huwa wanajiuliza hayo maswali kwa sababu unawaganda ganda sana.
 
Habari wakuu,

Poleni kwa majukumu ya hapa na pale.

Kuna jambo nilianza kuliona tangu mwaka 2010 na limekuwa likiendelea siku hadi siku, miaka hadi miaka. Nimetokea kupendwa sana na watu wenye magonjwa ya akili, kwa lugha iliyozoeleka "Vichaa"

Aisee hii hali imekuwa ikitokea mara kwa mara hata nihamapo mkoa mmoja na kwenda kuishi mkoa mwingine hii hali bado naendelea kuiona.

Mfano nikipita eneo nikakutana na kichaa ambaye watu wengine wakipita wanakula mboko, mimi napita bila wasiwasi kabisa, hanigusi wala kunisumbua kwa lolote. Vilevile kuna mmoja pia huwa anakuja eneo langu la kazi anakaa pale muda mrefu (Muda huo haongei chochote) na asiponikuta hawezi kukaa na aliowakuta. Anajiondokea zake.

Mpaka muda huu ninaoandika huu ujumbe kakaa hapa. Aisee kaniletea hadi maembe, sijui kayaokota wapi. Yaani huwa najiuliza sipati majibu, ni kwamba wanafurahia kampani yangu au nini?
Hongera mkuu kwa kupendwa na vichaa.
 
Back
Top Bottom