Vichaa wanafurahia kampani yangu

jaribu kuwa unawapatia chakula, kama utakuwa na uwezo huo, ndugu yawezekana kuna mafanikio mbele yako hilo moja, pili kipo kitu vichaa wanakiona kwako....power
 
Daahhh...hongera sana wape msaada sana wa chakula na mavaz kama nguo ambazo hauzitumii hakika muumba atakuzidishia zaidi
 
jaribu kuwa unawapatia chakula, kama utakuwa na uwezo huo, ndugu yawezekana kuna mafanikio mbele yako hilo moja, pili kipo kitu vichaa wanakiona kwako....power
Asante kwa ushauri ndugu
 
SASA nimejua ni Nani anayewapa vichaa mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…