Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,541
- 2,187
Nipo Naangalia vichekesho Azam Tv live,
Kiukweli wachekeshaji wa Tanzania bado tupo nyuma sana aisee, ingawa wametangulia watangulizi,
Bado kuchekesha sisi wabongo hatujaweza, ngoja tuone wale waliotangazwa wiki nzima,
Bado tuna safari ndefu,
MC nae bado aendani na comedy yenyewe
Kwa kifupi,
Vichekesho vilipendeza, MC pili pili alifunika, Ticha Mpamile alitendea aki jukwaa, alifanya alichoitiwa, Mau Fundi nae alifanya vzr tatizo muda aliopewa ulikuwa mfupi, Katharina wa Karatu aliogopa jukwaa hata kutembea alishindwa, kama alitumia dk nyingi hata NNE hazikuzidi, alijitahidi kidogo.
Huyu sasa mkenya tuliomsubiria kwa hamu! Mh mh mh mm namwachia Mungu, zaidi ya kumsifia diamond na lulu hakuna la maana alilofanya! Labda kwenye kakipengele ka kila mtu kuwa MC kwenye Harusi zao! Zaidi ya Hapo hakuna cha ajabu alichofanya.
Hii ni kwa mtazamo wangu
Kiukweli wachekeshaji wa Tanzania bado tupo nyuma sana aisee, ingawa wametangulia watangulizi,
Bado kuchekesha sisi wabongo hatujaweza, ngoja tuone wale waliotangazwa wiki nzima,
Bado tuna safari ndefu,
MC nae bado aendani na comedy yenyewe
Kwa kifupi,
Vichekesho vilipendeza, MC pili pili alifunika, Ticha Mpamile alitendea aki jukwaa, alifanya alichoitiwa, Mau Fundi nae alifanya vzr tatizo muda aliopewa ulikuwa mfupi, Katharina wa Karatu aliogopa jukwaa hata kutembea alishindwa, kama alitumia dk nyingi hata NNE hazikuzidi, alijitahidi kidogo.
Huyu sasa mkenya tuliomsubiria kwa hamu! Mh mh mh mm namwachia Mungu, zaidi ya kumsifia diamond na lulu hakuna la maana alilofanya! Labda kwenye kakipengele ka kila mtu kuwa MC kwenye Harusi zao! Zaidi ya Hapo hakuna cha ajabu alichofanya.
Hii ni kwa mtazamo wangu