Vichwa vya treni kwa ajili ya SGR vyaanza kushushwa Mombasa

Vichwa vya treni kwa ajili ya SGR vyaanza kushushwa Mombasa

View attachment 458281View attachment 458282
ohh no!! jamani the repainted worldwar relics have a maximum speed of 100km/hr they are no longer in use in the civilised world! Yaani bajaji boxer bodaboda is faster than the crap!!

Si kama hizi bombadier zenu tu
galeria-tuktuk-10.jpeg

5H-MWG-3.jpg

china.jpg

fUtrR.jpg

Never board a plane in Danganyika... Kila kitu ni Bongolala hadi pilots wa Bajaaj
 
Naona wameletewa vichwa vya treni muonekano wake na spidi sawa kabisa na matatu za Nairobi bila mwendo kasi kama walivyokuwa wanafikiria na kujikweza Afrika Mashariki na Kati.
Hapo wanasiasa wa jubilee washafanya yao,
Wamepaka rangi scrapers za World warII,
Jubilee wana mahesabu ya mbali sana..
tapatalk_1477781583072.jpeg

Wakati kina Depay na magovi yao wakiamka usingizini watastuka deni la taifa limezidi thamani ya nchi yote na familia za jubilee .co.ke zishahamia Norway ..
Game over!!
 
The last time I checked tz wanataka sgr pia... Soo Anza kujihadhari kwanza

Try to revisit ulicho andika halafu ujipime mwenyewe!

Tatizo la baadhi yenu uelewa wenu katika masuala ya teknolojia ya usafiri wa kutumia permanent way ni mdogo sana ndiyo maana maswali na majibu yenu yanadhilisha upungufu huo.

Hapa tunazungumzia D.E locomotives za Kichina zinazo hundwa kwenye kiwanda cha Dalian basi, sikugusia chochote kuhusu rollingstock wala permanentway, madaraja na stations vyote hivyo Wachina wanaviweza sana, tatizo ni hizi Locomotive wanazo zileta Africa bila ya kuzifanyia majaribio ya kutosha na ushahidi hupo - sasa naona mwenzangu unatumbukiza siasa kwenye mambo ya kiufundi - nina hakika ujui kwamba unapozungumzia SGR inamaanisha permanent way na si locomotives wala rollingstock.
 
Honestly nikiangalia mradi wa Ethiopia kulinganisha na huu wa Kenya inasikitisha sana kuwa obviously mmeibiwa..

Hapo kwenye locomotives panatia mashaka kidogo, wakati dunia inaelekea kwenye locomotives za speed ya 400-500 km/hr nyie mmeimport za 100 km/hr, at least mngekuwa kati kwenye 200 km/hr.

Kuhusu mradi mzima.. umefanikiwa sana na unavutia, though nilitamani reli ingekuwa double tracks ila najua ni gharama sana na hapo mlipofika mnaweza kuongezea baadae.

Je mradi utafanikiwa kurudisha investment cost?? Hilo tuachie wafanyabiashara na viongozi..
 
Mbona mabehewa, yao, utafikiri ya, kihindi, ya, mwaka 1995 au ndio msaada na huruma kwa wapiga kura wa jibilee nchini kenye
 
Cc huku ni kujitambiaga tu siasaa kibaoo. Na kwa mwendo huu miaka 20 ijayo mtanzania akifika kenya akirudi atakuwa anajisifu kma kafika ulaya. Ngoja tuendelee panga pangua
IT WILL NEVER HAPPEN.
BELIEVE ME ON THAT. .
MTAKUWA NYUMA YA TANZANIA MILELE YOTE. ..
 
Hapo wanasiasa wa jubilee washafanya yao,
Wamepaka rangi scrapers za World warII,
Jubilee wana mahesabu ya mbali sana..
View attachment 458353
Wakati kina Depay na magovi yao wakiamka usingizini watastuka deni la taifa limezidi thamani ya nchi yote na familia za jubilee .co.ke zishahamia Norway ..
Game over!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti akina depay na magovi yao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
I look at comments from guys in TZ and simply SMH. We celebrate our SGR. It will be a game changer and further enhance our status as the logistics hub of eastern africa You are most welcome to use our mombasa port and transport your imports and export. We will guarantee you of cost reduction and efficiency unparalleled anywhere in Africa. Our throug put is world class. Welcome to Kenya.
 
I look at comments from guys in TZ and simply SMH. We celebrate our SGR. It will be a game changer and further enhance our status as the logistics hub of eastern africa You are most welcome to use our mombasa port and transport your imports and export. We will guarantee you of cost reduction and efficiency unparalleled anywhere in Africa. Our throug put is world class. Welcome to Kenya.
OH HELL NO
 
Watch this space. Am told you are doing catch up. You are 3 years behind on this. Harakisheni
You will be surprised my dear. ..Anyway have a nice day. ..MAPINDUZI DAY..
 
Watch this space. Am told you are doing catch up. You are 3 years behind on this. Harakisheni
Ignore them...wakianza kuandika ujinga unasoma ukipita tu ili wasije wakakuambikiza ujinga.
They are good at criticizing what they dont have or cant afford to be.
Halafu umecheki vile comments zao ni kama wanazisource from one community brain, I think io pia ni effects za ujamaa.
 
Back
Top Bottom