[Tanga ya Tajiri]
Senior Member
- Aug 30, 2015
- 183
- 49
HahahhahahahaVideo ya Kuedit Kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahhahahahaVideo ya Kuedit Kumbe
Hahahahha wanajifurahisha hao ,,Hawawez kushindana na Mzee ,,,kitu kikubwa alichonacho Raisi wetu ni kuwa Hayumbishi katika mamb yake ,,,anaLolitaka ndiLo analolifanyia Jitihada ,,na ndani ya miaka 5 ikiisha kuna makubwa tutakuwa nayoJamani Mnamtia Hasira Tu Mkulu... Mwishowe Ahairishe Kuleta Ndege Mbili zile... Aamie Kwenye Reli tena Alete za Umeme Kabisa.. Na Sisi tule Nyasi
Mwalimu mwenyewe alituasa kabla ya kwenda Ulaya tube Nairobi kwanza kujifunzaCc huku ni kujitambiaga tu siasaa kibaoo. Na kwa mwendo huu miaka 20 ijayo mtanzania akifika kenya akirudi atakuwa anajisifu kma kafika ulaya. Ngoja tuendelee panga pangua