Hahahahha wanajifurahisha hao ,,Hawawez kushindana na Mzee ,,,kitu kikubwa alichonacho Raisi wetu ni kuwa Hayumbishi katika mamb yake ,,,anaLolitaka ndiLo analolifanyia Jitihada ,,na ndani ya miaka 5 ikiisha kuna makubwa tutakuwa nayo
Cc huku ni kujitambiaga tu siasaa kibaoo. Na kwa mwendo huu miaka 20 ijayo mtanzania akifika kenya akirudi atakuwa anajisifu kma kafika ulaya. Ngoja tuendelee panga pangua