Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

sasa bro umezungumza sawa, lakini huyo katibu wenu mkuu hakusoma hizo habari za ajabuajabu za huyo dada? kujihusisha nae ndio kusema naye anahusika na habari za ajabuajabu vilevile ndio wakakutana....
Watu wengine wana mioyo ya chuma. My God, Dr. kweli nimeamini halua haina makombo!
 
Hakufunga ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango; amefunga ndoa na Dk. Servacius Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango.
Soma tena ulichoandika ukiweza edit ueleweke mkuu unaheshima sana hapa jukwaani
 
Maisha yalivyo magumu nayeye ni mtetez wetu vijana si angenichagua ata mimi tujiinjoy jameni. Niache pulitebo nijiajir kwake.Pesa ya ubunge ingetutosha,akienda bungeni nikonaye beneti naivi amenoga yuko lainiiii,Ila poa tu dr faidi menyewe but usiwebize saana yeye geita-dom wewe busy dar.
 
According to Robert Mugabe " if you bear a girl child who is cute, but lacking enough intelligence, her private parts will be over ulized when she will be struggling to get better life". Ngoja niishie hapo bahari imeshachafuka moods wasije wakaanza na Mimi.
 
Vipi ile ndoa iliyoshindikana mwaka jana?
 
Hivyo huyu mama haoni aibu kwani tendo la kupata ndoa ni sawa na kupanda daladala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…