Vicky Kamata ajisalimisha kanisani Kusafisha Nyota ya Mapenzi na Ndoa iliyochafuka

Duh! Sasa hizo sms kwenda kwa mwanaume mwingine bwana arusi alizipataje au alipewa na nani?
 
Alipewa na wazee wa fitna he he he

Kumbe ndo maana huwa analalamika kuwa kuna watu waliharibu dili lake! Duh! Angemfanya jamaa bushoke. Akadanganya mara doctor amemwambia apumzike asiende arusini mara jamaa tapeli mwisho akadai kuna watu wameingilia ndoa yake!
 

kuumbeee......?!!!!
 
Kumbe ndo maana huwa analalamika kuwa kuna watu waliharibu dili lake! Duh! Angemfanya jamaa bushoke. Akadanganya mara doctor amemwambia apumzike asiende arusini mara jamaa tapeli mwisho akadai kuna watu wameingilia ndoa yake!

kuumbeee......?!!!!
Ndo hivo hakuna cha utapeli, kajipeperushia mwenyewe
hakuna mwanaume anaeweza kuvumilia huo ujinga
 

ila hayo makanisa hatuwezi yaita makanisa pendwa
 
Ndo hivo hakuna cha utapeli, kajipeperushia mwenyewe
hakuna mwanaume anaeweza kuvumilia huo ujinga

ishakula kwake hyooo
jumba bovu nani akubali..?!!
wakishaharibu wanajifanya wapendwa...!!
 
haujui hayo makanisa ya vichochoroni yako strict kuliko hayo ya main road ambayo hata ukienda na mwanamume mwenzako wanakufungisha ndoa tu, ukimpeleka mwanao kutumikia wanamfanya kitu mbaya!:angry:

Eeeeeeeeeeeeeee eti????? Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ode Mae!
 

Yesuu ruwa!....... So kwamba jamaa ni mume wa mtu na picha za mkewe zilirushwa ni uongo?
 

aisee....hizi intelijens mnapataga wapi..!
 
Story inapikwa weee inakaangwaa weee eti bwana tapeli
wakati msg zake zilifumwa tena siku chache kabla ya ndoa
uuuhhh nisijesutwa mie

mh!..hizi zingine za kuchongwa, simu za jamaa ziko configured vizuri sana conversation zote za kandokando zinaingia flash, au siku hiyo alijisahau? eh, ngoja nijiondoe zangu mie nilikuwa napita tu!
 


Aiseeeee
Kumbe
 
Yesuu ruwa!....... So kwamba jamaa ni mume wa mtu na picha za mkewe zilirushwa ni uongo?

Inasemekana ndio alioa bt walisha achana na.mkewe kihalali kabisa coz mkewe alishindwa mume alikuwa hajatulia....
Na huyo aliyekua.mkewe wala hahusika kuharibu huo ndoa ya vicky wamemsingizia tu
 
umeona ee?...cooked story
mh!..hizi zingine za kuchongwa, simu za jamaa ziko configured vizuri sana conversation zote za kandokando zinaingia flash, au siku hiyo alijisahau? eh, ngoja nijiondoe zangu mie nilikuwa napita tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…