Yule ni shetani wa uharibifu.... Cold-hearted.....binadamu asiye na chember ya utu wala huruma...Hata akikupenda sana Leo,akakusifia sana ila kesho lazima akuumize sanaMange ni shetani halisi kwenye mwili wa binadamu. Huwa hajali lolote kuhusu kumharibia mtu maisha yake.
Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?[emoji848][emoji2827]
Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao.
Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine.
Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii.
Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?
Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto! Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?
Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.
Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae nikachimba kwa pesa zangu ili nifurahie uzee wangu mimi na yeye. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema ange enjoy na alikuwa anaenjoy. Najua mnamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Jasho la mama zenu mtalifaidi na mimi jasho langu hayupo wa kunidhulumu.
Maisha ni hadhithi tu. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Pia, soma=> Vicky Kamata aangukia pua kesi ya mirathi ya Dkt. Servacius Likwelile
Na hata ya mzee wa kirachachaHii inafanana na ile ya Jacque Mengi !!?? Au hii itakua na utofauti
Ngoja tusubirie muendelezo maana kaapa hatokubali kudhulumiwa kilocho chake
Shaaban Ally Mhoja KishiwaMali alizoacha baba zinatutoa Roho
Sema wabongo hatuna exposure kabisa hata uwe tajiri vipi.Mtu aliekuwa kitengo nyeti BOT mtaalamu wa Uchumi anatambiwa na kilaza
Hana busaraAnasema hataki kumuaibisha aliyekuwa mume wake.
Alafu anaendelea kusema kwamba Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto!
Sasa hapo si anamuaibisha aliyekuwa mume wake!
Hivi hiyo nafasi ya kazi ilitangazwa auZimeisha ndo maana ameenda kuajiriwa tena serikalini (TAWA)
Halafu ni vile tu hajui, hii case kuna wazito behind the scene waliokuwa wanaangalia haki itendeke, Vick kudhani angeweza kumuhonga kila mtu ni kujitafutia kutumika bila sababu.Halafu msimpaishe Vicky kiiivyo, mzee wa msoga alishaga muacha way back yaani kama jamaa ana mtu, basi ana mtu mwenye akili zake sio Vicky alishindwa hata kuficha siri mpaka mama mjengo alijua. Vicky alikuwa anapenda ndoa sana matokeo yake hajawahi kuipata. Mnakumbuka yule jamaa hakuonekana kanisani sinza siku ya ndoa yake na Vicky? Yule alipangwa na mama mjengo kumkomoa Vicky. Likewise likwelile alijua ndoa ni Batili lakini kwa kuwa Vicky alikuwa desperate na ndoa akamkubalia tu ili ajifurahishe nafsi. Kuhusu exposure jamaa aliishi nchi nyingi na watoto wake wengine wana Uraia wa UK.
Rugumyamheto siyo RugunyamhetoMsimamizi wa PSRC enzi za Mkapa.
Ndoa alifunga mbili, moja Rita wakasema cheti feki, kingine kanisani Arusha nacho feki, nabiii kaulizwa kasema hakuna kitu Kama hicho, na kaambiwa ndoa kikristu ni moja tu, Tena Ana bahati vyeti vya kufoji angekuwa mwenzangu na Mimi si ingikuwa lupango Sasa hivi.Halafu msimpaishe Vicky kiiivyo, mzee wa msoga alishaga muacha way back yaani kama jamaa ana mtu, basi ana mtu mwenye akili zake sio Vicky alishindwa hata kuficha siri mpaka mama mjengo alijua. Vicky alikuwa anapenda ndoa sana matokeo yake hajawahi kuipata. Mnakumbuka yule jamaa hakuonekana kanisani sinza siku ya ndoa yake na Vicky? Yule alipangwa na mama mjengo kumkomoa Vicky. Likewise likwelile alijua ndoa ni Batili lakini kwa kuwa Vicky alikuwa desperate na ndoa akamkubalia tu ili ajifurahishe nafsi. Kuhusu exposure jamaa aliishi nchi nyingi na watoto wake wengine wana Uraia wa UK.
😃Mwanangu hii picha umenikumbusha mbali sana darasa la 4. Nilisoma kijijini. Siku ya kulima shamba la shule ikifika bora usahau madaftari na vitabu kuliko usahau jembe. Kipigo kinakuwa kitakatifu.