Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Sometimes unajiuliza hivi vyeo watu wanapewa kwa vigezo gani,kwani angekaa kimya angepungukiwa na nini
 
Kwa hiyo maza mjengo ako kwa background
 
Taratibu mtatuelewa tunaposema #KATAANDOA
 
Kwa hiyo maza mjengo ako kwa background
Hata issue ya kukimbiwa na bwanaharusi mama mjengo alikuwa nyuma ya picha. Beef lake na Vick haliishi, sababu Vick alitaka amtoe kabisa maza ye akae… wenzie huwa wanakula na kupita hivi…

Maza kusema we binti usinitanie nimekutangulia mjini…

Hata hivyo Vick ni nunda sana, vigongo anavyokutanaga navyo inabidi ili atoboe atembeze kwa wengine pia kupata backup.

Story ya Vick kuhusu kubaniwa inaweza ikampata Jojo pia unless apate back up nzito mpya, maana yule maza anamuangalia binti kwa jicho la ukaribu sana.
 
Kwani Hili suala linahusiana nini na mambo ya vyama? ushabiki Wenu wa vyama unawapumbaza sana akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…