Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Daaah lile kutwa kumsifu mama abdul kuliko mkewe,kumbe nalo nilibumunda
 
Cathe amezeeka nowadays, halafu sijui kajichonga shepu, ila usoni amekongoroka sana. Nae yalimsibu alichukua mume wa mtu akafariki akaenda kupigana makaburini

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Yule ni muuza nyama bungeni,huwezi kumuona akichangia chochote...yuko na mwenzake viti maalum kilimanjaro alikua hata tako wameenda uturuki na kujazwa putty
 
Malaya wa viti maalum ccm wako mpka vibibi,vinestaafu vikiwa visembe sugu...mpka bosd wako nae walewale
 
Kwenye vyama vyetu sio kwamba wote ni watakatifu. Watu kama hao wapo kila mahali. Siku hizi hadi makanisani huko ni ushenzi mtupu. Cha muhimu kwa CCM ni ushindi kwenye uchaguzi ili tuendelee kushika dola.
Unaliwa na festo sanga mzutiiii
 
Wasukuma tuna maneno mawili tu, mke au hawara, hayo mengine sijui Masuria, mchepuko, goalkeeper, mnyonyadamu, ruba n.k ndo yanamchefua dadangu mpk anashindwa kukaa kmya
 
Huyo mzee alikua loaded,kesi ya kitilya wa tra ilimtaka mnufaika wa ule upigaji,huyo ndio alitoa malipo ya escrow halafu malaya wa geita anasema alikua n vijumba...malaya mbwa hanaga akili kuna mwingine yuko arusha ni mbunge viti maalum
Huyu wa Arusha ni Catherine bila shaka.
 
hapo kuita nyumba vijumba kazingua hizo ni dharau

kukaa kimya huwa n nzuri, ila maneno yakizidi na kuachwa watu wana anza amini bora ukayazima mapema sana
Sijui kwanini anapambania mali..

Ila Vicky sio masikini, Pesa anayo ya kutosha.

Tamaa labda mana waswahili hatuna kiasi.
 
Sasa Jojo anaangaliwa kwa jicho la ukaribu kwann tena wakati shughuli imeshaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…