njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Vicky kamata akamatwa huko....,ila si atunge tena hata vijinyimbo vyake uchwara vile akapige shoo na Rich mavoko vijijini huko atapata na yeye hela ya kujenga "vijinyumba vyake"😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema wenyew wanaweza wanawake wa hovyo wakikutana uko wakipata savanna mbili mbil bas wanaona.maisha muruaVicky kamata akamatwa huko....,ila si atunge tena hata vijinyimbo vyake uchwara vile akapige shoo na Rich mavoko vijijini huko atapata na yeye hela ya kujenga "vijinyumba vyake"[emoji23]
Saa hii Kuna Yule Catherine magige km unamjua?Sema enzi zake huyu Vicky alikuwa sio poa kwa uzuri. Alikuwa pisi iliyonyooka. Kuhusu mali za urithi atajua mwenyewe....
Bora wamemnyoosha,***** zakeWanawake hawanaga kaba
Kama angekaa kimya angetoboka wapi
Anaanza ba kuomba vimisamaha vya kindezi ba kinafki
Sometimes mambo mengine wewe piga kimya tu nature inaamua
Namjua sana tu. Huyo atunukiwe tuzo ya malaya wa karne. Hana mpinzani.Saa hii Kuna Yule Catherine magige km unamjua?
Kumbe alifojiMbona akafoji hadi nyaraka mahakamani ili kupata hivyo 'vinyumba'?
1. Posho za Ubunge kama hela za madini Mkuu si unaona Zitto anabangaiza pamoja na kuwa Mbunge miaka yote?Posho za Ubunge kapeleka wapi anahangaika na Mali za lawama hizo..
Hakusitaafu mamlaka ilimtema so unajua ubunge wa viti maalumuuSawa Mh. Mbunge mstaafu.
Kima yenyewe iwe ya maana basi,watu walishachezeaaaaaaaaa!Wanaume tujifunze kutokana na mifano kama hii unakufa unaacha mtafaruku kwenye familia kisa ku.ma.
Yaani Likwelile awe Mario Kwa Vicky ! Ama kweli Malaya Si angemmaliza mtu!Kwa maelezo hayo dingi alikua Mario kwa Vick
Kunyamaza kimya ni kwa watu matured na jasiri.Kunyamaza kimya ingetosha.
Basi angetuambia pia alichompendea mtu wa aina hiyo!Angekaa kimya tu. Kuanza kudai alikuwa na vinyumba vya kawaida ni ujinga.
Nmeshangaa sana, maana anasema yeye alikua njema kuliko Dr means alikua ana mfuga mzeeYaani Likwelile awe Mario Kwa Vicky ! Ama kweli Malaya Si angemmaliza mtu!