Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Posho za Ubunge kapeleka wapi anahangaika na Mali za lawama hizo..
1. Posho za Ubunge kama hela za madini Mkuu si unaona Zitto anabangaiza pamoja na kuwa Mbunge miaka yote?

2 Demu pamoja na Mzee wa awamu ya 44 kula bado hakufanya maendeleo.

3. Demu bado pisi atatokea boya mwingine nae ale vitu ajenge nyumba kisha atangulizwe kama Dr
 
Tunajua yeye mcheps wa jamaa Fulani kwa Ile kona kama unaenda naniliu kule ndio maana anatoka serikalini kurudi anavyojisikia.

Huyu alikuwa mtumishi wa umma BOT akaacha kazi akaaingia kwenye siasa.

Siku hizi karudi kwenye utumishi je kisheria inawezekana au kwakuwa yeye ana connection nzito somewhere.

Je mtu wa kawaida angeweza.
 
Back
Top Bottom