mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Huko kwenyewe kachomekwa tuZimeisha ndo maana ameenda kuajiriwa tena serikalini (TAWA)
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kwenyewe kachomekwa tuZimeisha ndo maana ameenda kuajiriwa tena serikalini (TAWA)
Ana mhaho leo, akili imeruka 😂😂😂Hakupaswa kuandika eti hata swimming pool kaikuta kwake,eti hakuwa na asset kumzidi,jamani aibu nimesikia Mimi....hiki ni kiasi Kikubwa Cha utomvu wa nidhamu
Ila yule chikonde wa Marekani anajua sana ku drive watu crazy 🤣🤣Ana mhaho leo, akili imeruka 😂😂😂
Yule ana moto wake special unamsubiri.Ila yule chikonde wa Marekani anajua sana ku drive watu crazy 🤣🤣
Kwenye vyama vyetu sio kwamba wote ni watakatifu. Watu kama hao wapo kila mahali. Siku hizi hadi makanisani huko ni ushenzi mtupu. Cha muhimu kwa CCM ni ushindi kwenye uchaguzi ili tuendelee kushika dola.Midume ya CCM kazi kuomba tigo kwa wanawake. Umeona lile libunge linaloitwa Deo Sanga linalia na mwanamke aje alipe tigo eti linadai ''ndiyo ugonjwa wake''.
At the very least, she got class: Integrity. Morals. And her own hard-earned money too.
Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao.
Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine.
Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii.
Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?
Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto! Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?
Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.
Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae nikachimba kwa pesa zangu ili nifurahie uzee wangu mimi na yeye. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema ange enjoy na alikuwa anaenjoy. Najua mnamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Jasho la mama zenu mtalifaidi na mimi jasho langu hayupo wa kunidhulumu.
Maisha ni hadhithi tu. 🙏🙏🙏🙏
Pia, soma=> Vicky Kamata aangukia pua kesi ya mirathi ya Dkt. Servacius Likwelile
Kilicho chake ni tupu yake tu ..kadhulumiwa nani tupu yakeHii inafanana na ile ya Jacque Mengi !!?? Au hii itakua na utofauti
Ngoja tusubirie muendelezo maana kaapa hatokubali kudhulumiwa kilocho chake
Unajua noti anayokula huko TAWA? Kazi za TAWA, TFS, NCAA na TANAPA zina malisho manono kama TRA na TPA.Zimeisha ndo maana ameenda kuajiriwa tena serikalini (TAWA)
Ni nature. Binadamu wote sisi ni wanafiki. Hata wewe Maulaga siku ukifa tutajua mambo yako ya sirini ila muhimu ni yawe mazuri.Hivi ni kwa nini mambo mengi ya wawili huwa yanakuja kuwa hadharani baada ya mmoja kufariki? Wakati mume wake yupo hai Vicky alionekana kuwa mwenye upendo mkubwa kwa hiyo familia, kumbe ulikuwa upendo feki.
Ila kwa sura na umbo ni hatari nyeupe. Yaani kila kitu kimekaa sehemu yake. Ukimpata yule kabla ya yote soma maelekezo kwenye kibox cha condom ndo uvae. Vinginevyo ni danger de mort.Alishawahii gombania mpk marehemu uko Arusha na akashindwa kesii....
Alitia aibu Sana!!!
Mbona na yy kazeeka tuu....alikua hot zamani..ni agemate ya Vicky huyo Cathy...Saa hii Kuna Yule Catherine magige km unamjua?
Labda alikuwa anajituma sana anakatika kama feni mbovu na kutoa mistaili ya kutoka sayari ya Mercury ndio yalikuwa yamtoa jashoJasho na damu kivipi? Shughuli gani ambayo anaiita jasho na damu?
Kuchimba swimming pool ni shilingi ngapi? Usijekuta kuchimba swimming pool sio bei kiviile.
Duuuh kumbe ndo hali ya hewa hyo alochafuaCCM ndiyo kumejaza mijanajike ya namna hiyo. Ndiyo maana nchi imekuwa kama ina laana hatuendi popote. Midume ya CCM nayo kazi kuomba tigo kwa wanawake. Umeona lile libunge linaloitwa Deo Sanga linalia na mwanamke aje alipe tigo eti linadai ''ndiyo ugonjwa wake''.
Sijasema na wala sitasema wote wanaweza kuwa watakatifu. Dunia popote hata Ulaya washenzi wapo. Kinachohojiwa ni je, wale wakosaji wanashughulikiwa? Huwezi kuwa na nchi yenye wabunge waliokosa maadili kutwa kucha kuomba tigo kwa wanawake na hakuna anayejali halafu useme kila mahali hali ni hii. Mtu kama anataka kuwa kiongozi ni lazima awe mwadilifu. Kama hawezi aachie ngazi na awe na uhuru wa kufanya mambo yake.Kwenye vyama vyetu sio kwamba wote ni watakatifu. Watu kama hao wapo kila mahali. Siku hizi hadi makanisani huko ni ushenzi mtupu. Cha muhimu kwa CCM ni ushindi kwenye uchaguzi ili tuendelee kushika dola.
CHADEMA mlimshughulikia Mbowe kuteua hawara wake kuwa mbunge wa viti maalum? Unakumbuka Clip ya Mbowe na Wema?Sijasema na wala sitasema wote wanaweza kuwa watakatifu. Dunia popote hata Ulaya washenzi wapo. Kinachohojiwa ni je, wale wakosaji wanashughulikiwa? Huwezi kuwa na nchi yenye wabunge waliokosa maadili kutwa kucha kuomba tigo kwa wanawake na hakuna anayejali halafu useme kila mahali hali ni hii. Mtu kama anataka kuwa kiongozi ni lazima awe mwadilifu. Kama hawezi aachie ngazi na awe na uhuru wa kufanya mambo yake.
Nafahamu Mkuu ndo maana amekwenda huko kimbilio la watu mashuhuri na watoto wa viongozi waandamizi wa serikalini na si halmashauri ya wilaya au manispaaUnajua noti anayokula huko TAWA? Kazi za TAWA, TFS, NCAA na TANAPA zina malisho manono kama TRA na TPA.