Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Midume ya CCM kazi kuomba tigo kwa wanawake. Umeona lile libunge linaloitwa Deo Sanga linalia na mwanamke aje alipe tigo eti linadai ''ndiyo ugonjwa wake''.
Kwenye vyama vyetu sio kwamba wote ni watakatifu. Watu kama hao wapo kila mahali. Siku hizi hadi makanisani huko ni ushenzi mtupu. Cha muhimu kwa CCM ni ushindi kwenye uchaguzi ili tuendelee kushika dola.
 

Nakuomba msamaha mume wangu kwa kuwa mimi ni Mkatoliki na Imani yangu inaniambia unaona na unajua kila kitu kinachoendelea kati yangu na wanao.

Najua muda utaongea lakini kwa kuwa nami ni binadamu naomba niseme yafuatayo! Ni kweli mimi ni kiumbe dhaifu na mwenye dhambi nyingi tu kama wengine.

Lakini wanangu kwanini mnapindisha ukweli? Nimedhulumu mali gani? Nimemfukuza nani? Nyumba ipi? Wanangu hata kama ni chuki iwe na kiasi basii.

Sitaki kumuaibisha mume wangu lakini mnanichochea na kunisukuma wanangu! Niambie Dunia ukweli wa maisha yangu na Baba yenu? Alikuwa na pesa kunizidi yes! Lakini alikuwa na asset gani ya maana kunizidi mimi?

Baba yenu alikuwa na vinyumba vya kawaida na msululu wa watoto! Kwanini alipokuwa na Mama zenu hakufanya maendeleo? Leo mnanichafua na kunipaka matope kwa jasho langu? Mungu mnamjua nyie watoto?

Nimetoka familia masikini sana, na nimefika hapa kwa jasho la damu. Naomba sana mshangilie ushindi wenu kwa heshima! Sijafukuza mtu! Sijadhulumu na sintakuja kudhulumu maishani kwangu.

Nafanya kazi usiku na mchana kwa kuwa najua sina wa kunipa cha bure. Baba yenu hata swimming pool ameikuta kwangu. Na baadae nikachimba kwa pesa zangu ili nifurahie uzee wangu mimi na yeye. Bahati Mbaya Mungu kamuita mapema ange enjoy na alikuwa anaenjoy. Najua mnamuumiza sana. Tulieni sihitaji hata kijiko ambacho siyo cha jasho langu. Jasho la mama zenu mtalifaidi na mimi jasho langu hayupo wa kunidhulumu.

Maisha ni hadhithi tu. 🙏🙏🙏🙏

Pia, soma=> Vicky Kamata aangukia pua kesi ya mirathi ya Dkt. Servacius Likwelile
At the very least, she got class: Integrity. Morals. And her own hard-earned money too.
 
Hivi ni kwa nini mambo mengi ya wawili huwa yanakuja kuwa hadharani baada ya mmoja kufariki? Wakati mume wake yupo hai Vicky alionekana kuwa mwenye upendo mkubwa kwa hiyo familia, kumbe ulikuwa upendo feki.
Ni nature. Binadamu wote sisi ni wanafiki. Hata wewe Maulaga siku ukifa tutajua mambo yako ya sirini ila muhimu ni yawe mazuri.
 
Kwenye vyama vyetu sio kwamba wote ni watakatifu. Watu kama hao wapo kila mahali. Siku hizi hadi makanisani huko ni ushenzi mtupu. Cha muhimu kwa CCM ni ushindi kwenye uchaguzi ili tuendelee kushika dola.
Sijasema na wala sitasema wote wanaweza kuwa watakatifu. Dunia popote hata Ulaya washenzi wapo. Kinachohojiwa ni je, wale wakosaji wanashughulikiwa? Huwezi kuwa na nchi yenye wabunge waliokosa maadili kutwa kucha kuomba tigo kwa wanawake na hakuna anayejali halafu useme kila mahali hali ni hii. Mtu kama anataka kuwa kiongozi ni lazima awe mwadilifu. Kama hawezi aachie ngazi na awe na uhuru wa kufanya mambo yake.
 
Sijasema na wala sitasema wote wanaweza kuwa watakatifu. Dunia popote hata Ulaya washenzi wapo. Kinachohojiwa ni je, wale wakosaji wanashughulikiwa? Huwezi kuwa na nchi yenye wabunge waliokosa maadili kutwa kucha kuomba tigo kwa wanawake na hakuna anayejali halafu useme kila mahali hali ni hii. Mtu kama anataka kuwa kiongozi ni lazima awe mwadilifu. Kama hawezi aachie ngazi na awe na uhuru wa kufanya mambo yake.
CHADEMA mlimshughulikia Mbowe kuteua hawara wake kuwa mbunge wa viti maalum? Unakumbuka Clip ya Mbowe na Wema?
 
Back
Top Bottom