Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Vicky Kamata asema marehemu mume wake "Alikuwa na vinyumba vya kawaida na msururu wa watoto!"

Hii inafanana na ile ya Jacque Mengi !!?? Au hii itakua na utofauti

Ngoja tusubirie muendelezo maana kaapa hatokubali kudhulumiwa kilocho chake
Hii inaweza kuwa na utofauti kidogo. Huyu dada yeye pia alikuwa mchakarikaji. Yule alimpeleka mengi. Huyu nafikiri mapenzi ya MUNGU tu
 
Ila kwa sura na umbo ni hatari nyeupe. Yaani kila kitu kimekaa sehemu yake. Ukimpata yule kabla ya yote soma maelekezo kwenye kibox cha condom ndo uvae. Vinginevyo ni danger de mort.
Ilee imekamilika huez kula bila kunawa mikono mzee sio poa pale nadhan wameteleza mamia
 
Wanawake hawanaga kaba

Kama angekaa kimya angetoboka wapi

Anaanza ba kuomba vimisamaha vya kindezi ba kinafki

Sometimes mambo mengine wewe piga kimya tu nature inaamua
Sheria nazo ziangaliwe kwasababu zinazalisha michongo mingi

Prof kaoa 1986 ,kamata kaaza nae maisha ya kimalaya juzi TU 2010 ,kwahiyo kachuma Mali na profesa hadi aanze kudai
 
Back
Top Bottom