Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Sasa kama ameshindwa kutumia pesa vizuri za ubunge miaka yote ataweza kweli huko tawa kubadilikaUnajua noti anayokula huko TAWA? Kazi za TAWA, TFS, NCAA na TANAPA zina malisho manono kama TRA na TPA.
Hakuna anayejua kabakiwa na Tsh ngapi au anamiliki nini. Kusema kwamba kaishiwa ndo maana ameenda kuajiriwa sio sahihi... kuna watu wameajiriwa ila wana biashara zao kubwa na wanamiliki vitu vingiSasa kama ameshindwa kutumia pesa vizuri za ubunge miaka yote ataweza kweli huko tawa kubadilika
Kumbe ndo anatak atumalizie wazee maake mule ndani na alivo twiga bas lzm wadateShape ameenda kuboresha Nadhani kaenda kunyonya mafuta tumboni!! Angalia picha zake za zamani na za sasa
Hii inaweza kuwa na utofauti kidogo. Huyu dada yeye pia alikuwa mchakarikaji. Yule alimpeleka mengi. Huyu nafikiri mapenzi ya MUNGU tuHii inafanana na ile ya Jacque Mengi !!?? Au hii itakua na utofauti
Ngoja tusubirie muendelezo maana kaapa hatokubali kudhulumiwa kilocho chake
Kheee tena [emoji3]..... Hv ni mbunge uko Arusha eeh?Huyo nimeishi naye jirani alipangiwaga nyumba wkt huo hajaukwea ubunge...siku nasikia ni mbunge nlishanga sana...
Ngoja niishie hapa
Ova
Ilee imekamilika huez kula bila kunawa mikono mzee sio poa pale nadhan wameteleza mamiaIla kwa sura na umbo ni hatari nyeupe. Yaani kila kitu kimekaa sehemu yake. Ukimpata yule kabla ya yote soma maelekezo kwenye kibox cha condom ndo uvae. Vinginevyo ni danger de mort.
Ilaaa sura ndo imemkataa kweny figure mambo yangu oyaa limejaa freshMbona na yy kazeeka tuu....alikua hot zamani..ni agemate ya Vicky huyo Cathy...
Ni nature. Binadamu wote sisi ni wanafiki. Hata wewe Maulaga siku ukifa tutajua mambo yako ya sirini ila muhimu ni yawe mazuri.
Garii walitoa tairii..... Sema Yule alisema kila mmja kampa chakee sasa hatujui km Doreen aliachwa salama na nyumba ya salasalaBado ya mzee Mrema na yeye na yule mke wake wa uzeeni
Hao hata wapewe kiasi gani zitaisha tuu maana hawafikiri kuwa pana kesho ili wawekeze...Zimeisha ndo maana ameenda kuajiriwa tena serikalini (TAWA)
😂😂😂Angekaa kimya tu. Kuanza kudai alikuwa na vinyumba vya kawaida ni ujinga.
Hii itakuwa tofauti ngoja tuoneHii inafanana na ile ya Jacque Mengi !!?? Au hii itakua na utofauti
Ngoja tusubirie muendelezo maana kaapa hatokubali kudhulumiwa kilocho chake
Ni kauli ya dharau ya maneno ya mkosaji..🥲🥲🥲🥲🥲Vinyumba ndio Nini?
Yaani kaandika upupu mtupu yaani sijui alikurupukia wapiNi kauli ya dharau ya maneno ya mkosaji..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alitaka kujisafisha ila kumbe anajichafua zaidi...Yaani kaandika upupu mtupu yaani sijui alikurupukia wapi
Sheria nazo ziangaliwe kwasababu zinazalisha michongo mingiWanawake hawanaga kaba
Kama angekaa kimya angetoboka wapi
Anaanza ba kuomba vimisamaha vya kindezi ba kinafki
Sometimes mambo mengine wewe piga kimya tu nature inaamua