Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na angekuwa Magufuli hajafa hata angemsifia, huku moyoni anaumia.Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Ukweli mtupu ! hivi ccm iliokota wapi mtu yule ?Bado anaongea. Anasema alimaanisha alichoandika. Jiwe alilewa madaraka
Bora Membe hakuwa mnafki.Na angekuwa Magufuli hajafa hata angemsifia, huku moyoni anaumia.
Ndio tabia za Wanasiasa hizo.Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Anasema ukweli lazima usemwe jiwe alikuwa mnyama.Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Acha kuendekeza roho mbaya itakuua.Bila hii nchi kuwafanyia ukatili wapumbavu na mamia kwa maelfu wakapotea na kufa haiwezi siku kuja kuendelea kwa hayo tunayoita maendeleo ya kweli....
Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
[/QUO. MTU mwenyewe demu wa kikwete.
Jiwe mwenyewe alidai hatishwi na hatishiki.upo sahihi,mi naona huu msemo wa duniani tunapita 7unatumiwa vibaya,jiwe alikuwa katili ndio na alijua atapita tu so kifo kisitumiwe kama kumsimanga mtu
ya jiwe yameisha watu wamuache tuendelee na mengine hata wakisema the Guy is no more na hasikii chochote
bora Lissu na kina Lema na Mbowe walimpa za uso akiwa hai na alizisikia,kusema mtu hayupo hakubadili chochote
Acha kuendekeza roho mbaya itakuua.
Jiwe ni jumla.ya wanafiki wote walioshirikiana kuhujum haki za watanzania. Wasidhani Jiwe ni yule aliyekufa pekeeAmesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana.
Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka.
Amemaliza kwa kusema pamoja na kufuta andiko lake la kumshutumu jiwe ni kweli jiwe aliniumiza sana.
Source: StarTv (Medani za Siasa) muda huu.
Alikosa uteuzi anaanza kuita watu makatili wakati hajalala hata selo.Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Asante umempa vipande vyake.Ndicho alichochagua aliyefariki kwani hakutaka kbs kukoselewa akiwa hai. So kwa kuwa hayupo kwa sasa ni lazima atakoselewa tu hakuna namna nyingine.
Na kifo Cha mmewe ni neema kwa Nani?Yeye anasema kifo cha Magufuli ni neema kwa taifa.
Vicky anaunga mkono kauli ya askofu Shoo kwamba mama aliponye taifa.
Wajameni si amerudi kundiniMnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.