Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.


Sasa unafiki wake uko wapi kama alikuwa anaimba kumsifia mtu aliemshikia bunduki kichwani??

Mtu kama kashikikilia maslahi yako na unajua katili ..na kila mtu anamuimba apate nafuu why wewe usiunge tela?
 
Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Kwani kasema kifo ni adhabu ?!. Amesema duniani tunapita tutendeane uwema .
 
Amesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana.

Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka.

Amemaliza kwa kusema pamoja na kufuta andiko lake la kumshutumu jiwe ni kweli jiwe aliniumiza sana.

Source: StarTv (Medani za Siasa) muda huu.
Mnafiki mkubwa huyo mbona hakuthubutu kuyasema haya Hayati alipokuwepo ili akione cha Moto vizuri?

Kwahiyo alitaka Hayati nae ampende na hata amtongoze kama alivyotongwa na Mstaafu Mswahili wa Chalinze ambaye alimwandikia namba yake ya Simu katika Simu yake katika Hafla ya CCM Mwanza Hotel 2006 ndipo akawa nae Kimahusiano na mpaka kumpa Vyeo mbalimbali Benki Kuu, katika Taasisi nyingine na Kumpambania awe Mbunge wa Viti Maalum?

Tena angekuwa na 'Akili' angenyamaza.
 
Amesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana.

Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka.

Amemaliza kwa kusema pamoja na kufuta andiko lake la kumshutumu jiwe ni kweli jiwe aliniumiza sana.

Source: StarTv (Medani za Siasa) muda huu.
Umemlisha maneno.... aliulizwa swali hilo lakini hakutaja mtu,wala a.k.a yake

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi unadhani ni kwanini Mkapa haongelewi sana kwa mabaya au mazuri aliyoyatenda ?!.

Jiulize ni kwanini Jiwe lako linazungumzwa kwa ukatili !!.
mkapa waliomfahamu at a personal level wanadai jamaa hakutaka watu wanaojipendekeza kwake na hakuwa na urafiki yule mzee yani kwa kifupi alikuwa na maisha anayojua yeye
nasikia amewahi mara nyingi kuwafukuza wageni ikulu kuna wanasiasa aliwadisi wamefata soseji ikulu
 
Apumzike kwa amani sioni haja ya kuendelea kumwongelea mtu ambaye hawezi kujitetea,tujifunze kusamehe na kuachilia
 
Back
Top Bottom