Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
alizoea kufumuliwa marinda na wa awam ya nne. Akajipendekeza kwa jiwe afumuliwe tena ili apewe kacheo, jiwe kamtema nje. Sasa analia nini? Alizoea kubebwa na kikwete, jiwe alikuwa habebi malaya.
 
Amesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana.

Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka.

Amemaliza kwa kusema pamoja na kufuta andiko lake la kumshutumu jiwe ni kweli jiwe aliniumiza sana.

Source: StarTv (Medani za Siasa) muda huu.
Tatizo la Vicky anazani kila kiongozi anamtaka ili amtunze na kumpa cheo, ujinga ule alikuwa anauweza JK na ndiyo maana nchi ilimshinda.
 
Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Huyo mdada mpumbavu kabisa. Anaamini yeye ni The Chosen One kwamba kila uongozi ale good time! Kwanza ana bahati, nikishika madaraka , atamfuata mumewe!!!
 
Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.

Kila mwanaccm na mtanzania anajua magu alikuwa kiongozi katili. Hawa wachache ambao hawako kwenye ulaji, ndio wanauthubutu wa kuusema ukatili ule. Lakini ukweli ni kuwa, magu alikuwa kiongozi dhalimu mwenye ulevi wa madaraka.
 
Mambo ya Vick Kamata.
tapatalk_1634618139998.jpeg
 
Kama ulivyowapoteza watanzania wengine enzi za kundi lenu la watu wasiojulikana, chini ya yule kiongozi dhalimu.
Huyo mdada mpumbavu kabisa. Anaamini yeye ni The Chosen One kwamba kila uongozi ale good time! Kwanza ana bahati, nikishika madaraka , atamfuata mumewe!!!
 
Jiwe mwenyewe alidai hatishwi na hatishiki.
Alisahau kifo ndiyo Baba Lao. Ameacha watu wakivaa barakoa alizoita sidiria na chanjo kwa saaana. Na pesa zimepokelewa na zinapelekwa kuwezesha social infrastructure zitakazopambana na Corona mfano madarasa ya kutosha ili waalimu na wanafunzi wasisongamane darasani, health facilities n.k.
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ana kichwa chenye akili na timu nzuri. Huyo jiwe alijua pesa ya mfadhili ni kununua barakoa tu!!!! Hahahaha

Rest in Eternal Fire.
 
Alisahau kifo ndiyo Baba Lao. Ameacha watu wakivaa barakoa alizoita sidiria na chanjo kwa saaana. Na pesa zimepokelewa na zinapelekwa kuwezesha social infrastructure zitakazopambana na Corona mfano madarasa ya kutosha ili waalimu na wanafunzi wasisongamane darasani, health facilities n.k.
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ana kichwa chenye akili na timu nzuri. Huyo jiwe alijua pesa ya mfadhili ni kununua barakoa tu!!!! Hahahaha

Rest in Eternal Fire.
We ni mnufaika wa hizo pesa Mkuu! hizo pesa unazosema zinaenda kujenga miundo mbinu labda miundo mbinu ya familia zao! Unayemsifia ana akili sana tuliowengi tunaona utendaji wake ubaya na uzuri tunauona wote
 
Mbina naye huyo Vicky alipindua ndoa ya mwanamke mwenziye akamchukulia mumewe!!!

Hata yeye Vicky kaumiza mwanamke mwenziye mwisho wa siku Mungu kamchukua huyo "Likwe wake"
Hakumpindua mwanamke yeyote. Marehemu Likwelike aliachana na mkewe wa ndoa kwa talaka. Akaoa mwanamke mwingine. Yule mwanamke Mwingine alifariki kwa ugonjwa wa Cancer. Akaishi miaka kadhaa bila mke na ndiyo akaja kumuoa Vicky Kamata.
Kifupi hata watoto wa mke mkubwa waliyeachana ( ambaye naye ni marehemu kwa sasa) wanampenda Vicky Sana na siku Wana muaga Baba Yao waliweka wazi na kumsifu mno Vicky.

Taarifa sahihi ni muhimu mno.
 
We ni mnufaika wa hizo pesa Mkuu! hizo pesa unazosema zinaenda kujenga miundo mbinu labda miundo mbinu ya familia zao! Unayemsifia ana akili sana tuliowengi tunaona utendaji wake ubaya na uzuri tunauona wote
Hapana Mkuu Mimi ni raia kama wewe tu
 
CCM wapo wengi waliotendewa maovu na ibilisi Ila wanakosa ujasiri wa kujitokeza kusema. Tuwapongeze Vicky na Diallo ambao wameshinda kikwazo cha uoga na kuzungumza waziwazi udhalimu wa joka kuu.
 
Wataendelea kufunguka tu
Kuna Mzee tunaishi nae mtaani. Huyu Mzee ni Kada maarufu wa CCM hapa mtaani kwetu. Kwa miaka mingi amekuwa mtetezi wa CCM. Hivi sasa Mzee yule kaamua kupiga kimya. Kilichomfanya awe mnyonge kwa Chama chake ni namna kinavyofanya maamuzi yake kwa sasa. Akatolea mf suala dogo la Wamachinga: Waliotoa ruhusa hata na kuwapatia vitambulisho ni CCM. Waliotoa tamko la kuwaondoa ni CCM ile ile. Sasa tunafuata ya Chama au mawazo ya mtu binafsi??

Mama ameonekana akijitahidi kuyaendeleza yale yote yaliyoasisiwa na mtangulizi wake lkn wakati huo huo akichomekea yakwake ili nae aweke alama kwenye Uongozi wake.

Amesema kitendo hiki kimefanya kuonekane Makundi makubwa ndani ya Chama. Yaani kundi la mwendazake linalowatetea Wamachinga.
Kundi la pili ni la Mama linalopingana na Wamachinga. Na kundi la tatu ni la Ndugai ambalo halina upande Bali wao wanasubiri mshindi wamuunge mkono.

Amesema kundi la Ndugai ndilo kundi baya mno kwani wao ndio wachochezi wa makundi yale mawili yenye nguvu. Yaani wanaliendesha kundi lao kwa siasa za kinafiki.

Kwa mtizamo huo kwangu mimi nakiona Chama changu kipo gizani. Hivyo acha niendelee kukaa kimya.

Swali langu ni Je kweli kuna haya makundi ndani ya CCM????
 
Back
Top Bottom