Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
😅alikuwa anajua kukera watu sana yule mzee,na alipenda kufanya hivo kila akipata nafasiJiwe mwenyewe alidai hatishwi na hatishiki.
Mtu alikuwa ndani ya Ccm hakukosoa kipindi hicho why leo tupunguze kiwango cha UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA.Ndicho alichochagua aliyefariki kwani hakutaka kbs kukoselewa akiwa hai. So kwa kuwa hayupo kwa sasa ni lazima atakoselewa tu hakuna namna nyingine.
Anasema jiwe alilewa madaraka. Na alikuwa na roho mbaya kiasi cha kumfanya Vicky anyanyasike sanaNa kifo Cha mmewe ni neema kwa Nani?
Au nyie wema mtaishi milele?
Yule mzee aliefufukia hospitali alimsamehe marehemu?Bora Membe hakuwa mnafki.
Huko ni kukosa akili. Bora angekaa kimya kuliko kumsifia mtu kinafki.Sasa unafiki wake uko wapi kama alikuwa anaimba kumsifia mtu aliemshikia bunduki kichwani??
Mtu kama kashikikilia maslahi yako na unajua katili ..na kila mtu anamuimba apate nafuu why wewe usiunge tela?
Alivumulia kukosolewa!!?..kasanga tumbo,kasela Bantu,kambona,mapalala,titi mohammed
Hakuna cha muhimu alichoandika zaidi ya ujingaAsante umempa vipande vyake.
🤣🤣Alivumulia kukosolewa!!?..kasanga tumbo,kasela Bantu,kambona,mapalala,titi mohammed
Kama Antony Diallo tuMtu alikuwa ndani ya Ccm hakukosoa kipindi hicho why leo tupunguze kiwango cha UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA.
Mfalme akiwa uchhi unasema mfalme kavaa vazi lisiloonekana,ukisema yupo ucchi shauri yakoSasa unafiki wake uko wapi kama alikuwa anaimba kumsifia mtu aliemshikia bunduki kichwani??
Mtu kama kashikikilia maslahi yako na unajua katili ..na kila mtu anamuimba apate nafuu why wewe usiunge tela?
Kwani kasema kifo ni adhabu ?!. Amesema duniani tunapita tutendeane uwema .Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Mnafiki mkubwa huyo mbona hakuthubutu kuyasema haya Hayati alipokuwepo ili akione cha Moto vizuri?Amesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana.
Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka.
Amemaliza kwa kusema pamoja na kufuta andiko lake la kumshutumu jiwe ni kweli jiwe aliniumiza sana.
Source: StarTv (Medani za Siasa) muda huu.
wanawake hawaeleweki,ukute jiwe kashapiga hapo,hujawahi kuchukua mwanamke alafu akiwa kwa watu anakuponda ?Anasema jiwe alilewa madaraka. Na alikuwa na roho mbaya kiasi cha kumfanya Vicky anyanyasike sana
Hivi unadhani ni kwanini Mkapa haongelewi sana kwa mabaya au mazuri aliyoyatenda ?!.Na kifo Cha mmewe ni neema kwa Nani?
Au nyie wema mtaishi milele?
Umemlisha maneno.... aliulizwa swali hilo lakini hakutaja mtu,wala a.k.a yakeAmesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana.
Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka.
Amemaliza kwa kusema pamoja na kufuta andiko lake la kumshutumu jiwe ni kweli jiwe aliniumiza sana.
Source: StarTv (Medani za Siasa) muda huu.
mkapa waliomfahamu at a personal level wanadai jamaa hakutaka watu wanaojipendekeza kwake na hakuwa na urafiki yule mzee yani kwa kifupi alikuwa na maisha anayojua yeyeHivi unadhani ni kwanini Mkapa haongelewi sana kwa mabaya au mazuri aliyoyatenda ?!.
Jiulize ni kwanini Jiwe lako linazungumzwa kwa ukatili !!.