Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Alipopata akamvuruga.....anzia Likwe ....hadi kwake yeye...
 
Mpka leo nikiambiwa nioneshe ukatili wa JPM kwa watanzania siuoni, labda kwa wale walokuwa wavunja sheria, wezi na waliozoea kuishi kwa kuwanyonya watu. Kiongozi katili asingeweza kupendwa kiasi kile na raia wake, kifupi ni kuwa JPM alipendwa na raia wengi kwa utendaji wake wa kazi hakucheka na wezi, wazembe na wala hakutak kujipendekeza kwa mtu.

Na alichukiwa na vikundi vichache au wanasiasa wachache ambao wao maendeleo yao na familia zao ndio kipaumbele chao na maslai ya wengi au ya taifa baadae.

Ndio maana kuna wanaopinga ujenzi wa reli, masoko nk wakiona kuwa vitawanufaisha raia wa tabaka zote
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Opportunist mzuri, sasa Jiwe alimpiga chini mumewe ambapo yeye alijiegesha mpaka akafa. Ndio maana ya kelele zote hizo.
 
Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Huyo aliguswa Pabaya

Afu tulishwmsahau sqna anataka tumkumbuke
 
Itakuwa kuna kitu alimnyima na Jiwe akaona amnyooshe.
 
Asante katili kwa kuwakilisha uji-nga wako
 
 
Hizo stress zake tupa kule...mbona asielezee anavyotaka kudhulumu watoto wa marehemu Likwelile??? Huo si ukatili???
 
Huyu ni mwanaccm mwenzao ndio anasema hivi sio mbowe.
 
Hiyo post aliyoiandika kuna mwenye nayo?

Ipo humu jamvini jisumbue kidogo utaipata.Tena kamsifu sana aliyekuwa Katibu Mkuu Mzee Kinana kama mtu mwema na mtenda haki.

Manazi wa CCM hasa team Yesu wa CHATO wakamnanga kweli kweli hadi akaliondoa bandiko lake.
 
Huyu mke wa Likwerile aliyetumbuliwa na Magufuli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…