cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Siyo CCM tu wanasiasa wengi ni wanafiki niambie mwanasiasa yeyote wa upinzani ambaye siyo mnafikiNi mwanaccm gani sio mnafiki, hasa kipindi cha dhalimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo CCM tu wanasiasa wengi ni wanafiki niambie mwanasiasa yeyote wa upinzani ambaye siyo mnafikiNi mwanaccm gani sio mnafiki, hasa kipindi cha dhalimu?
Frustrated individual. CCM sidelined.Bado anaongea. Anasema alimaanisha alichoandika. Jiwe alilewa madaraka
Kwa kweli huyo ana kiwango cha unafiki kwa level ya PhDNa hapa je? She is just frustrated na huu ni unafiki
Mmh! Bhagosha!!! Naluhagha ghete.Kwa kweli huyo ana kiwango cha unafiki kwa level ya PhD
Ni kitu gani umecomment hapaMmh! Bhagosha!!! Naluhagha ghete.
Utaacha vipi kuumia wakati ulipanda kwenye medani za siada kwa kubebwa kwa uanawake wako?Amesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana.
Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka.
Amemaliza kwa kusema pamoja na kufuta andiko lake la kumshutumu jiwe ni kweli jiwe aliniumiza sana.
Source: StarTv (Medani za Siasa) muda huu.
Ndio swala la kufa kila mtu atakufa hakuna aliyekatra. Lakini mambo Magufuli alivyokuwa akifanya alijiona immortal hatawai kufa ataishi milele kisa tu alibahatisha urais kwa kupewa na NEC. Matokeo yake kafa kwa aibu kwa kuzungushwa zungushwa na machela. Kumbuka hata kabla hajamminia Lissu risasi alishampangia hadi mazishi yakrHuyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Ulitegemea Rais Magufuli awatendee vipi Mafisadi kama hao pia ukiwemo wewe!??CCM wapo wengi waliotendewa maovu na ibilisi Ila wanakosa ujasiri wa kujitokeza kusema. Tuwapongeze Vicky na Diallo ambao wameshinda kikwazo cha uoga na kuzungumza waziwazi udhalimu wa joka kuu.
Fala wewe!Ndio swala la kufa kila mtu atakufa hakuna aliyekatra. Lakini mambo Magufuli alivyokuwa akifanya alijiona immortal hatawai kufa ataishi milele kisa tu alibahatisha urais kwa kupewa na NEC. Matokeo yake kafa kwa aibu kwa kuzungushwa zungushwa na machela. Kumbuka hata kabla hajamminia Lissu risasi alishampangia hadi mazishi yakr
Keshamaliza kugombania mali za watoto wa mumewe?
Mpuuzi huyo Kagongwa mno na Mkwere.Huyu mama hajielewi kabisa
Hilo ndilo tatizo la kubebwabebwa
Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Music gani anaimba lisauti la kisukuma anasaidiwa tuu na outotunes za cubase?
Na kifo Cha mmewe ni neema kwa Nani?
Au nyie wema mtaishi milele?
Mnafiki mkubwa huyo mbona hakuthubutu kuyasema haya Hayati alipokuwepo ili akione cha Moto vizuri?
Kwahiyo alitaka Hayati nae ampende na hata amtongoze kama alivyotongwa na Mstaafu Mswahili wa Chalinze ambaye alimwandikia namba yake ya Simu katika Simu yake katika Hafla ya CCM Mwanza Hotel 2006 ndipo akawa nae Kimahusiano na mpaka kumpa Vyeo mbalimbali Benki Kuu, katika Taasisi nyingine na Kumpambania awe Mbunge wa Viti Maalum?
Tena angekuwa na 'Akili' angenyamaza.
Hakukosoa ili kulinda usalama wake.Mtu alikuwa ndani ya Ccm hakukosoa kipindi hicho why leo tupunguze kiwango cha UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA.
alizoea kufumuliwa marinda na wa awam ya nne. Akajipendekeza kwa jiwe afumuliwe tena ili apewe kacheo, jiwe kamtema nje. Sasa analia nini? Alizoea kubebwa na kikwete, jiwe alikuwa habebi malaya.
Namjua vyema tena hata kuliko anavyojijua Mpuuzi na Mnafiki mkubwa huyo. Tena asirudie tena Kumsema vibaya Hayati Rais Dkt. Magufuli kwani wengine tuna 'Mafaili' yake mengi tu kuanzia akiwa pale SAUT Mwanza na Kwingineko alikokuwa.Naam,wewe wamjua vizuri sana huyu mdangaji alokosa haya na sasa anataka hata kudhulumu mali za watoto wa Dr Likwelile
Hakumpindua mwanamke yeyote. Marehemu Likwelike aliachana na mkewe wa ndoa kwa talaka. Akaoa mwanamke mwingine. Yule mwanamke Mwingine alifariki kwa ugonjwa wa Cancer. Akaishi miaka kadhaa bila mke na ndiyo akaja kumuoa Vicky Kamata.
Kifupi hata watoto wa mke mkubwa waliyeachana ( ambaye naye ni marehemu kwa sasa) wanampenda Vicky Sana na siku Wana muaga Baba Yao waliweka wazi na kumsifu mno Vicky.
Taarifa sahihi ni muhimu mno.
BOT alikuwa anakula mshahara wa bwerereMpuuzi huyo Kagongwa mno na Mkwere.