Victor Njau mtia nia ubunge Arusha Mjini (CCM) aokotwa akiwa hana fahamu na majeraha mwilini, alazwa hospitali ya Mt. Meru

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mgombea ubunge wa Arusha mjini kupitia CCM Victor Njau ameokotwa akiwa na majeraha huku amepoteza fahamu.

Hivi karibuni Njau aliwatuhumu wagombea wenzake kuwa wametoa rushwa iliyotukuka kwenye zoezi la kura za maoni.

Victor Njau amelazwa katika hospitali ya Mt. Meru.
 
No. Serikali inyamazie mambo yote ila sio uhalifu dhidi ya binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…