Victor Njau mtia nia ubunge Arusha Mjini (CCM) aokotwa akiwa hana fahamu na majeraha mwilini, alazwa hospitali ya Mt. Meru

chezeanane ninyi huko, ila mkitugusa wapinzani..haki hapatatosha!!
 
Au kamanda God kaanza kampeni mapema?
Wala sio kamanda mkuu, mimi naamini upinzani wenye nguvu unakiweka chama tawala kwenye msitari. Sasa haka kautamaduni wa chama chetu CCM kakiendelea basi upinzani unaweza kufanikiwa kwa urahisi na hiyo itakiinyoosha hicho chama chetu. Au Mzee Mgaya anasemaje huko kuhusu hili?
 
Maccm yamenza kutupana vichakani. Vipi bwashee, huyo hajajipulizia perfume?
 
Hahahaaaa....... Polepole atutangazie tu majina ya wagombea wetu wasije kuuwana bure!
 
Daudi Mchambuzi,
Bwashee zamu hii uchaguzi ni Jumatano yaani wednesday.....na hapo ndipo mtakapofeli.

Hakuna ile " Nendeni kwa amani msisahau kumchagua naniliu...."
 
Wameanza kuuwana wao kwa wao. Akina Mwigulu Nchemba walikuwa wanarusha mabomu kwenye mikutano ya chadema sasa wamegeukiana
 
Huyo hakunywa Faru John bwashee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…